Makonda mtoto wa town Tu, humuwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lockdown imesaidia pakubwa sana maana tulikusudia kuwa na maambukizi 10,000 kufikia mwishoni mwa April.
Japo inawezekana hiyo idadi tumeifikia mitaani na ndio maana tunapima kwa mkupuo ili kila mtu ajue hali yake asije akatema mbegu.
Vipi Tanzania masaa 24 aliyotoa Makonda yanaelekea kuisha, atawakamata wabunge kama anavyofanya kwa machangu.
Sent using Jamii Forums mobile app