Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usilinganishe nchi ya ovyo na Tanzania hasa ukiangalia kijeshi hujiulizi kwanini Tanzania ni nchi pekee stable afrika mashariki na kati alafu unatumia data za mitandaoni kulinganisha nguvu za majeshi unaakili kweli?Kenya vs Ethiopia
Kenya vs Tanzania
Ethiopia sio mchezo, lakini TZ tunakanyaga kama kawaida.
Usilinganishe nchi ya ovyo na Tanzania hasa ukiangalia kijeshi hujiulizi kwanini Tanzania ni nchi pekee stable afrika mashariki na kati alafu unatumia data za mitandaoni kulinganisha nguvu za majeshi unaakili kweli?
Thibitisha kama ni kweli jeshi LA Tanzania sio ovyo kama La Kenya na halijawahi kushindwa kwenye operation yoyote ile.
Thibitisha kama ni kweli jeshi LA Tanzania sio ovyo kama La Kenya na halijawahi kushindwa kwenye operation yoyote ile.
Kama hawa wanauwezo wa kuwauwa ovyo wanajeshi wa Tanzania si wageshaingia tayari Tanzania? Alafu wewe reference yako ni huyu unaakili kweli?
We reference yako ni huyu MTU unaakili kweli lete chanzo kinachoeleweka
Usilinganishe nchi ya ovyo na Tanzania hasa ukiangalia kijeshi hujiulizi kwanini Tanzania ni nchi pekee stable afrika mashariki na kati alafu unatumia data za mitandaoni kulinganisha nguvu za majeshi unaakili kweli?
Umeona kuna vurugu ?Mimi niko Tanzania sioni vurugu yoyote na usitegemee vuruguNchi ya amani my footView attachment 1602589
Alafu huna reference inayoeleweka
[emoji23][emoji23]Tanzania sioni wa kufanana na sisi kwenye nguvu za kijeshi afrika mashariki na kati ndo sababu huoni tukivamiwa na magaidi au nchi yoyote
There are clips doing rounds on social media on the recent see events in Kitaya which resulted in the death of 20 civilians & 2 soldiers.Kama hawa wanauwezo wa kuwauwa ovyo wanajeshi wa Tanzania si wageshaingia tayari Tanzania? Alafu wewe reference yako ni huyu unaakili kweli?
Tetesi: - Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...We reference yako ni huyu MTU unaakili kweli lete chanzo kinachoeleweka
Acha uongo wa tetesi hao hawana uwezo wa kuingia Tanzania sisi watanzania tusijue kama kuna watu wamevamia nyie ndo mjue?
Unatuletea Taarifa kutoka kwa Mjinga bila kuwa na Uhakika
Najua Tanzania wanahabari wako mfukoni mwa mtu mmoja anajiita magufuli.Unatuletea Taarifa kutoka kwa Mjinga bila kuwa na Uhakika
Jitambue wewe