Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
BBC wanadanganyaAcha uongo wa tetesi hao hawana uwezo wa kuingia Tanzania sisi watanzania tusijue kama kuna watu wamevamia nyie ndo mjue?
https://www.bbc.com/news/topics/cjnwl8q4qdrt/tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BBC wanadanganyaAcha uongo wa tetesi hao hawana uwezo wa kuingia Tanzania sisi watanzania tusijue kama kuna watu wamevamia nyie ndo mjue?
Ukisoma hapo BBC wenyewe hawanauhakikaBBC wanadanganya
https://www.bbc.com/news/topics/cjnwl8q4qdrt/tanzania
Mpelekee Mnywa chang'aaNajua Tanzania wanahabari wako mfukoni mwa mtu mmoja anajiita magufuli.
Ndo maana hampati hizi news
Achana naye huyo Kilaza analazimisha Upuuzi wake Watu wajadili Kila post ni hilo hilo na wanampuuza maana walisha muona Kilaza mkubwaUkisoma hapo BBC wenyewe hawanauhakika
Mpelekee Mnywa chang'aa
Hiyo Habari
Maana Ww umeona ndio Habari Humu jf
Watu wanakupuuza tu Huyo mtu Tunamjua sisi Watanzania Kwahiyo kama ww umeona ndio chanzo chako pole sana
Siamini kwamba wewe ambaye ulikuwa unaunga mkono ugaidi hivi majuzi na kufarahia ukisikia hata fununu tu ya shambulizi lolote nchini Kenya, ndio unakana vikali habari hizi za shambulizi la ISIS kule Mtwara. Tulijaribu kuwaelimisha humu kwamba ugaidi ni tatizo ambalo ni 'global' na linahitaji nguvu za pamoja kuliangamiza. Ila mkasema kwamba 'moto' wenu wa kijihadi hautafifia na kwamba lazima muangamize manyang'au. Poleni sana jombaa, ila kukana na kusema kwamba ni uongo sio suluhisho la kudumu. Tanzania border village attack 'leaves 20 dead' - BBCUnatuletea Taarifa kutoka kwa Mjinga bila kuwa na Uhakika
Jitambue wewe
Tz is stable because ya ushamba wa raiya wake, on average wengi wako na low exposure, mumekaliwa kishenzi na kulishwa propaganda hadi basi, ukarimu wa kinafiki na umbeya wa kike is your definition😂😂 it is called false peace and stability. Siku ile raiya wataamka ndio tutajua mbivu na mbichi, kwa sasa nikuimba ccm na mukulu wakati maendeleo kwa mtu binafsi ni kizungumkuti😂😂Usilinganishe nchi ya ovyo na Tanzania hasa ukiangalia kijeshi hujiulizi kwanini Tanzania ni nchi pekee stable afrika mashariki na kati alafu unatumia data za mitandaoni kulinganisha nguvu za majeshi unaakili kweli?
Dar ni nyumbani kwa magaidi mbona waichome? Hauna taarifa! Al Shabaab financiers wengi wanatokea Dar., kati ya magaidi walio uwa wanafunzi Garisa kuna wenye walitokea Tanzania! Wale waarabu na ma sheikh wa Dar wapumbavu wanajulikana fala wewe. Dar imejaa giza!Tanzania sioni wa kufanana na sisi kwenye nguvu za kijeshi afrika mashariki na kati ndo sababu huoni tukivamiwa na magaidi au nchi yoyote
Ama kweli ww mlevi.[emoji23][emoji23]View attachment 1602612
Leta ushahidi usibwabwaje km umekunywa pombe ya asili.Dar ni nyumbani kwa magaidi mbona waichome? Hauna taarifa! Al Shabaab financiers wengi wanatokea Dar., kati ya magaidi walio uwa wanafunzi Garisa kuna wenye walitokea Tanzania! Wale waarqbu na ma sheikh wa Dar wapumbavu wanajulikana fala wewe. Dar imejaa giza!
yaani una resopond leo hii?.., hauna copy? terrorist sympathizers and financiers wanatokea Dar es salaam na Mombasa kwa wingi, liko wazi sana.., fanya utafiti wacha uzembe wewe.., anything that involves religion is an itchy zone, very emotive issue, better tuyaache hayo., wewe fanya utafiti kivyako..,Leta ushahidi usibwabwaje km umekunywa pombe ya asili.
Muheshimiwa nipe ushahidi wa tafiti zako.yaani una resopond leo hii?.., hauna copy? terrorist sympathizers and financiers wanatokea Dar es salaam na Mombasa kwa wingi, liko wazi sana.., fanya utafiti wacha uzembe wewe.., anything that involves religion is an itchy zone, very emotive issue, better tuyaache hayo., wewe fanya utafiti kivyako..,
Mwanajeshi au askari kufa ni kawaida hao ni binadam sio maroboti.Najua Tanzania wanahabari wako mfukoni mwa mtu mmoja anajiita magufuli.
Ndo maana hampati hizi news
Tz hatuna cha kutufanya tupigane au tuanzishe vurugu.Tz is stable because ya ushamba wa raiya wake, on average wengi wako na low exposure, mumekaliwa kishenzi na kulishwa propaganda hadi basi, ukarimu wa kinafiki na umbeya wa kike is your definition😂😂 it is called false peace and stability. Siku ile raiya wataamka ndio tutajua mbivu na mbichi, kwa sasa nikuimba ccm na mukulu wakati maendeleo kwa mtu binafsi ni kizungumkuti😂😂