Kenya vs Tanzania: Mbona Kuna Chuki?

Niaina gani yawatu walio wengi from your list? To what extentent to they talk about the country.. will like to know.
 
Wewe mleta mada unaona huyu ndugu yako anavyotiririsha povu kiasi hiki, unataka sisi tufanye nini kwenye situation kama hii.? Lazima ale za uso huyu nyangau kabisa
 
Every country acts in the interests of it's Citizens. Kenya Export to the U.S under Agoa is very big hence cannot afford to loose the market.

Kweli nyani haoni Kundule, Tz more than one's has blocked Kenyan businesses to Tz citing 'protecting local companies'.

Kenya is the leader in the region and cannot follow...
 
Tatizo akili zenu hazina akili, nani kasema msilinde maslahi yenu?, mbona sisi tulikataa mkataba wa EPA kwa kulinda maslahi yetu, tatizo ni pale mliposaini na kukubaliana na mkataba huo, lakini mara baada ya vitisho toka US, mkajitoa, hilo kamwe hamtoeleweka na lazima mtalipia gharama ya huo usaliti wenu, mngekataa toka mwanzo hakuna mtu angelalamika.
 
Vipi mleta mada mount Kilimanjaro na oldvai mshavirudisha tuliwaachia mtambe kuwa vyenu ila sisi ndugu tunatgemeana tangu enzi za mzee kenyata na nyerere mkizingua watz pia watawazingua hongereni mliwahi kupata exosure
 

Unajua nimarangapi Tz imekiuka mikataba ya E.A??? Your hate makes you short sited...
 
Unajua nimarangapi Tz imekiuka mikataba ya E.A??? Your hate makes you short sited...
Naomba ulete kwa ushahidi ni mkataba gani Tanzania tulisaini kisha baadae tukajitoa, hiyo siyo tabia ya Tanzajia hata kidogo, sisi tunakuwa wagumu sana katika kukubali na tunachukua muda mrefu sana kufikia maamuzi, lakini tukishafikia maamuzi haturudi nyuma, hii ni kinyume kabisa na Kenya, ambayo inakubali kila mikataba haraka sana, na kuivunja hiyo mikataba kirahisi sana.
 

Msimamo wa Kenya bado utabaki huo huo, biashara haina undugu ila maslahi, hebu wapelekee hao wafanya biashara wa Dar hayo mambo yenu ya undugu uone kama hamtawafilisi ndani ya wiki moja.
Ufahamu kuwa Mrundi anatoka mbali sana na kuja kutumia bandari ya Kenya na kusahau undugu wenu naye kwa sababu anapiga mahesabu ya kibiashara, vivyo hivyo Mtanzania anayetokea Kaskazini anatumia huduma zetu maana ndizo ninamfaa kibiashara. Mboreshe huduma na muache uzembe wa kutegemea undugu.

Sijaelewa hapo unasema tunatengwa na majirani wakati takwimu zinaonyesha asilimia ya mahusiano yetu ya kibiashara na majirani wetu wote zinaongezeka. Biashara ni sayansi, hamna cha hisia au pumba za kuitana ndugu.

Halafu nimesema mara nyingi humu, Watanzania tumeunganishwa nao kwenye kiuno hata kama hatuna undugu hatuwezi kuwakwepa, nenda kafuate tarakimu za uhamiaji wakuambie idadi ya Watanzania wanaoingia Kenya imezidi wanaoenda kwenye mataifa mengine mliopakana nao, ipo siku mtafunguka na kupanua ufahamu na uelewa.
 
Tatizo unatoka kwenye nchi iliyo katoka vipande vipande, tukiacha nyinyi wa magharibi wenye roho mbaya na wapenda pesa, watu pwani wala hawama roho mbaya. Mpaka Islamic bank wamewaleta mnakopa bila riba.

Majirani wanawatenga kwa kutokuelewana kwa sera ya biashara ya nje. Mnalabiliwa na maamuzi magumu na majirani wamesha weka msimamo wa kutokurufi nyuma. EPA, Mitumba, mpaka tariffs.
 
Hatutaki watu wanaojikomba kwetu kwa madai ya kufunganishwa kwenye kiuno, mbona wazungu wanatemebelea Kenya kwa wingi lakini hamsemi wamefunganishwa kwenye viuno, mbona wasomali hamjafunganishwa kwenye viuno na wamejaa hapo Kenya?, mnaitegemea Tanzania kwa sana na ndiyo sababu wakenya wengi wanakuja kutembea Tanzania na investors wa Kenya wamejazana kutafuta biashara baada ya kuona uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi wakati wa Kenya unaporomoka, Kenya needs Tanzani badly my friend.
 
Kwa kweli mimi kama mtanzania nikiona mtz anatukana wakenya najiskia vibaya sana. Hakuna taifa tunalofanana nalo na kuwa na ukaribu nalo kama Kenya. Tunashea nao hadi makabila mfano masai na wajaluo. Pia tuna mpaka mrefu nao kuliko taifa jingine lolote. Binafsi nilipokua ughaibuni wakenya ndo walikua marafiki zangu na tuliishi kama ndugu.
 
We unajua nini???
Unajua kitu kinaitwa COW figisu ambalo lilitokea hadi ccm na upinzani Tanzania wakataka serikali ijitoe EAC ??? Unajua histori ya Kenya kuusu ukombozi wa bara la Africa hadi Leo ukitaja mkenya South Africa wanaona umewatajia mzoga wa mbwa unajua Kenya iliunga mkona makaburu dhidi ya wazawa wa afrika kusini yako mambo mengi sana toka kale wakenya ni wahuuni wahuuni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…