😀😀😀😀Mzee wa soft loan anapiga dua ili aifikie kenya...mtapiga sana mwaka huuu[emoji202] [emoji191] [emoji196] [emoji239] [emoji3] View attachment 698308View attachment 698309
Kenya ranked as 'failed state'😀😀😀😀
Mbona hii sijaiona, dua yake haijafaulu naona gapa inazidi kupanuka.
shida Wakenya wanajiona wanaakili na wajanja wajanja..hatutaki wanyonyaji kutoka kenya! nendeni Sudan na Somalia
Tribalism, corruption, extra judicial, crime, terrorism, Hunger,slums.msituambukize ulaji ALBINO . . Hatutaki ushetani. Halafu mje mchukue ombaomba wenu wamejaa huku. nugu .
Tribalism, corruption, extra judicial, crime, terrorism, Hunger,slums.
Kenya ranked as 'failed state'
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Angalia tv zao kama huwezi fika kwao na ulinganishe na zetu.shida Wakenya wanajiona wanaakili na wajanja wajanja..hatutaki wanyonyaji kutoka kenya! nendeni Sudan na Somalia
Huna unalojua unapiga domo tupu, katiba imewasaidia nini wakati kipindi cha uchaguzi bado mnaendelea kufa kama wanyama?, corruption, tribalism, nepotism, police killings and slums zinazidi kila siku?Angalia tv zao kama huwezi fika kwao na ulinganishe na zetu.
Linganisha katiba yao na yetu.
Linganisha elimu yao na yetu.
Linganisha uchumi wao na wetu.
Tz imewekeza kiasi gani Kenya na kinyume chake.
nk nk nk nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya shemeji zetu...tunaoa huko na michepuko yetu ni wakenya...we love kenya.wakenya na wa tz wanamaudugu na maingiliano kuzidi nchi yeyote EAC, huwez ni twins hivyo tarajia hayo but all in all Kenya is a country Tanzanian love than any in the world
Mimi naipenda kenya ila simpendi mk254.kwa sababu ndo chanzo cha chuki.thread zako zote ni za uchonganishi.mtoa thread anza kuihoji hii virus kwanzaTanzania nimepaishi miaka kadhaa, na nimekatiza mikoa mingi na wilaya nyingi, nimeingia maeneo mengi sana huko na kuhititmisha kwamba kuna aina tofauti tofauti za Watanzania.
- Kunao ambao walikaririshwa mambo fulani fulani dhidi ya Wakenya tangu enzi za ujamaa, hawa hata ufungue nyuzi ngapi humu hawatabadilisha mawazo na mitazamo yao, ni wazee wazee na cha kuhuzunisha walipokeza mitazamo ya kihivyo kwa watoto wao. Hawa walikaririshwa kwamba Kenya ilijengwa na mzungu na ndio sababu imewashinda kiuchumi hadi leo.
- Kuna wale japo huiskia Kenya, lakini ukimuuliza iko upande gani kwenye ramani hawana habari, hawa hujifanya wajuzi sana wa masuala ya Kenya, na wapo hata humu JF. Sampuli ya hawa utawakuta vijiweni Tanzania wakiijadili Kenya, nilikua nakaa pembeni kuwaskliza hadi naishia kicheko.
- Kuna ambao kwa kweli wanaipenda Kenya, hawa aidha wamewahi kuishi na kusomea Kenya maana kila nikijadili nao walikua wanaonekana kuwa na habari za Kenya hadi za hivi punde. Unakuta Mtanzania anawajua wabunge wetu hata kunizidi, anaweza akaongea siasa za maeneo kama Nyandarua, Trans Nzoia n.k. yaani maeneo ambayo hata mimi binafsi sina habari nini kinaendelea huko, wa hivi nilikua na urafiki nao sana na mpaka leo huwa tunapigiana simu.
- Kuna wengine japo wamewahi kuishi Kenya, lakini kuna kituko kiliwatendekea wakaishia kulea chuki dhidi ya Kenya, aidha alinyang'anywa bidhaa, au kiwanja au fursa fulani, kuanzia hapo akaanza kuishi full majungu na machungu dhidi ya Kenya, na wapo humu.
- Kuna sampuli ya wengine ambao walizembea kazini kwao huko halafu Wakenya wakaalikwa na kuajiriwa kwenye hizo nafasi, unakuta mwajiri Mtanzania ameamua kumlipia Mkenya au Mhindi gharama zote za usafiri, makazi, vibali vyote ilihali ameacha Watanzania wenzake. Sasa hapa jamaa wanaishia kulea chuki na hawawezi kubadilika hata ufanye nini.
- Kuna wengine ambao hutuchukia kwa ajili ya uwezo wetu wa kuongea kingereza ilhali wao wamehangaika kwa muda mrefu, unakuta tukiingia vikao ambavyo kingereza ndicho kinatumika, inakua rahisi kuwajua Wakenya humo ndani maana wanaonekana kujiamini na waongeaji ilhali Watanzania kimyaaa. Vikao vya namna hii nilivihudhuria sana, Watanzania walikua wanalea chuki japo kimya kimya.
- Lakini pia humu JF kuna wale ambao ni mamluki wa CCM, hawa hukesha humu wakiponda Kenya, wao hawana chuki lakini wapo kikazi zaidi. Awali nilikua najadili nao lakini nilipogundua kwamba ni kama robots, yaani kazi yake haimruhusu kuwa na mtazamo tofauti, hivyo hata kama uko sahihi kivipi hatokubali hata kama uzi utaishia kwenye kurasa ishirini, ikabidi niwe nawakwepa.
Zaidi ya yote, kuna Watanzania wazuri tu, mnahusiana nao vizuri hawana chuki wala nini, tena wachapa kazi nimefanya nao kazi, wana uzalendo wa Kiafrika, yaani wao hupenda kuona maendeleo kwenye nchi yoyote ya Afrika. Na hutawakuta wakichangia kwa chuki, wao hutoa hongera wanapokumbana na hatua zozote chanya zitakazoikomba Afrika kiuchumi. Wapo wa hivi humu lakini wachache sana.
Huyu ndiye mmoja kati ya watzed wanaongozwa na chuki kali sana dhidi ya Kenya.This guy is like a Tanzanian Hitler and Idi Amin rolled into one.He's a psychopath and a sociopath.Tribalism, corruption, extra judicial, crime, terrorism, Hunger,slums.
https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.html
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Mimi naipenda kenya ila simpendi mk254.kwa sababu ndo chanzo cha chuki.thread zako zote ni za uchonganishi.mtoa thread anza kuihoji hii virus kwanza
Na log off
Nacheza bao kijiweni apa.akili yangu, mitazamo, na research yangu ndogo bado inaonyesha wew ni hamnazo.unajifanya unabeba jina la kenya kwenye thread za mihemko yako mwenyew.unaonekana una misukosuko ya maisha inakusumbua.wakenya hawako kama wewe nasema never.unajifanya akili kubwa kila kitu unajua kumbe hamna kitu.sisi wengine tukikosa vya kuchangia tunasoma thread (sio kwamba we unajua).ila ni mkurupukaji sikutofautishi na akina mwajuma ndala ndefu [emoji35][emoji35][emoji34][emoji34]Aisei humu tungekua tunakuja kutafuta kupendwa basi hii JF haingekua na umaarufu wowote, ila ndio chombo mahsusi cha watu kukubali kutokubaliana kwa hoja, humu wapo Watzed ambao hukesha wakitiririka chuki dhidi ya Kenya, ila sisi Wakenya tulishawazoea na kuwavumilia maana kiaina huwawezesha kupata kaunafuu, ni kama vile raha ya nyeto.
Mitandao ya kijamii huwafaidi watu kuwa na sehemu ya kusema, hususan kwa nchi yenu ambayo mumeminywa hamna uhuru wa kusema. Nakumbuka kipindi fulani mkulu wenu aliomba malaika waje na kufunga mitandao yote.
Kama ukishindwa kuvumilia maoni ya watu humu, log off kabisa nenda kacheze bao kijiweni.