Leta matokeoHiii jersey ya Zanzibar ni mbovu sana.
2-2Tumebanana 1 - 1
vipi? sayansi ya kiafrika iliangukasidhani kama usiku wa kuamkia leo wazee wa kinzanzibar walilala.
kwa ninavyowajua watu wa visiwa vya unguja,watakuwa wamepasua nazi nyingi sana sambamba na kufanya makafara ya kimila ili washinde hii game ya leo.
mpira wa kiafrika bila ku-apply sayansi ya kiafrika hauwi mtamu.[emoji23] [emoji23]
πππππ, eti sayansi ya kiafrika!...vipi? sayansi ya kiafrika ilianguka
si uliona ile counter attack ya second goal,haikuchukua hata dakika mbili waka equalize.... that wasn't normal my friend.[emoji23] [emoji23] ...utani tu usichukulie serious.vipi? sayansi ya kiafrika ilianguka
si uliona ile counter attack ya second goal,haikuchukua hata dakika mbili waka equalize.... that wasn't normal my friend.[emoji23] [emoji23] ...utani tu usichukulie serious.