Kenya waagiza sukari na unga kutoka Israel

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
21,859
Reaction score
19,736
Akiripoti kutoka Kenya kipindi cha radio one stereo nipashe leo asubuhi ,Dennis Msundi amesema bidhaa hizi kwa sasa hivi zinapatikana katika maduka makubwa tu yaani supermarket kukiwa na condition kuwa mteja haruhusiwi kununua zaidi ya kilo sita
Kenya sasa hivi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula uliosababisha kupanda kwa bei za vyakula

My take:kuna jambo lakujifunza kutoka kwa jirani zetu hawa liwe baya au zuri,matatizo ya nchi moja ya Africa ni reflection ya sera za nchi nyingi masikini ambazo zime adopt sera za ubepari-kigeni (cash crop agriculture) bila kuzingatia madhara na mahitaji ya jamii zake yaani demamd driven production na human centred development
 
 
 
kuna vitu vikubwa viwili vya kujifunza hapa
1.Tumezungukwa na nchi ambazo zina uhaba mkubwa sana wa njaa, ndio maana chakula kinavushwa kimagendo kwenda nchi jirani hali inayosababisha bei kupanda na baadhi ya maeneo yanakabiliwa njaa.
2.Israel ni nchi ambayo ardhi yake ilikuwa na miamba lakini wanazalisha chakula mpaka cha ziada kutuuzia, sisi tuna ardhi ya kutosha kwanini tunashindwa kuzalisha chakula cha kutosha? inabidi twende tukajifunze na kuiba teknologia wao wanayotumia.
 
Upungufu wa unga, sukari na maziwa sio uhaba mkubwa wa njaa.
 
Apo funzo kubwa nlilolupata ni kutokuwa na majisifu kwamba sijui GDP kubwa wakati kuna njaa! Watakuja wenyewe wazee wa kutafuta sifa wapo desperate sana kusaka kiki kumbe full njaa
as long as we not importing from an Ldc country like Tz, we're fine
 
Apo funzo kubwa nlilolupata ni kutokuwa na majisifu kwamba sijui GDP kubwa wakati kuna njaa! Watakuja wenyewe wazee wa kutafuta sifa wapo desperate sana kusaka kiki kumbe full njaa
Unasema nini aisee? Si hio GDP kubwa ndio imetuwezesha kununua bidhaa hizo? Ni hii si mara ya kwanza.

Kila mwaka Kenya hununa mahindi kutoka kwa nchi zingine, hasa Tamzania, lakini kwa vile hili eneo zima iliaffectiwa na ukame....saizi hata
Tanzania haijajitosheleza kwa bidhaa ya chakula, ndio maana mlikataa kutuuzia.
 
Mwenzangu, jaribu kuelewa hali jinsi ilivyo hapa Kenya. Tungekuwa tunlima tu hizo foodcrops, foreign currencies sasa tungepataje? Huduma za jamii tungewezaje kugharamia? Uchumi wetu kweli inaweza kuendelea kwa sisi.kulima tu nafaka na mboga eti kwasababu tunaogopa njaa na kuchekelewa na wabongo?

Sisi hatuna raslimali nyingi ya madini kama ilivyo Tanzania, na ardhi yet yenye rotuba ni %17 pekee. Na Kenya ina idadi kubwa sana ya watu serikali inafaa kukidhi mahitaji yao. Suluhu sio ukuluma wa mimea ya vyakula, bali mimea za cashcrops itakayopatia serikali fedha nyingi itakayowezesha serikali kukidhi mahitaji mengi sana ya raia, zaidi ya itakayotokana kama tungekuwa tu focused on subsistence farming. Kilimo ya aina hii ndo sababu kubwa zaidi Kenya ina uchumi mkubwa zaidi eneo hili. Tukikumbana na ukosefu wa vyakula vya kutosha, sisi hutumia fedha ya ziada iliyotokana na mauzo ya cashcrops kununulia chakula kwenye mataifa ya nje. That is how our country works.
 
as long as we not importing from an Ldc country like Tz, we're fine
πŸ˜€ clearly expressing hatred on Tanzania. Yaani mpo tayari kununua ndimu 5000 kwa moja lakini iwe kwengine tu sio Tanzania shilingi 50? πŸ˜€ i see
 

Mbona usitulie ukaandika kitu kinachoeleweka na cha kweli, mihemko ya kutaka uwe wa kwanza kuleta taarifa hadi unaandika pumba na kupotosha watu. Ni dhahiri ukame umekumba nchi nyingi leo hii na sio Kenya tu, ila cha msingi ni kwamba Kenya ina uwezo wa kununua chakula kutoka nje.
 
Mungeanza utaratibu wa kuwezesha mazao yakapatikana kupitia kilimo na hio GDP yenu kwa kutengeza mazingira ya kilimo kwanza sio kubwabwaja tu kumbe nyumbani njaa.

Una range rover unaishi kwenye chumba cha kupanga.... afu unajisifia maendeleo
 
Kwanini msijitosheleze wenyewe?
 
Na ninni kakwambia ya kwamba Kenya hazalishi bidhaa ya vyakula kuptia kilomo? Wewe unafikiri aina ya kilimo inayofanywa hapa Kenya ni ya cashcrops tu?

Na nynui kwanza ndo mko na visa vingi zaidi ya njaa ingawaje mna ardhi kubwa yenye rotuba kushinda nchi yoyote ile kanda hili.

Mungeanza utaratibu wa kuwezesha mazao yakapatikana kupitia kilimo na hio GDP yenu kwa kutengeza mazingira ya kilimo kwanza sio kubwabwaja tu kumbe nyumbani njaa.

Una rangwwe rover unaishi kwenye chumba cha kupanga.... afu unajisifia maendeleo

.
 
Mungeanza utaratibu wa kuwezesha mazao yakapatikana kupitia kilimo na hio GDP yenu kwa kutengeza mazingira ya kilimo kwanza sio kubwabwaja tu kumbe nyumbani njaa.

Una range rover unaishi kwenye chumba cha kupanga.... afu unajisifia maendeleo

Cha msingi hii GDP kubwa inatulisha hata kama mashamba yetu hayakututosheleza, ni kama leo umpigie makelele tajiri fulani eti kwanini ananunua chakula mbona asitegemee shamba lake mwenyewe. Hela zinakupa jeuri ya kununua kutoka nje.
 
Apo funzo kubwa nlilolupata ni kutokuwa na majisifu kwamba sijui GDP kubwa wakati kuna njaa! Watakuja wenyewe wazee wa kutafuta sifa wapo desperate sana kusaka kiki kumbe full njaa
Nyinyi ndio hamnunui vitu nje, si mkona uhaba wa sukari ama hio hujui?
 
πŸ˜€ clearly expressing hatred on Tanzania. Yaani mpo tayari kununua ndimu 5000 kwa moja lakini iwe kwengine tu sio Tanzania shilingi 50? πŸ˜€ i see
sasa tukinunua kutoka kwenu,,, we huoni kama tutawamalizia kabisa maghala yenu ya chakula kisha muanze kuhangaika. hicho kiuchumi chenu kidogo sana tuliza boli. Ldc
 
alarmist story,maize inatolewa Mexico....Ama pumba umepata kikiπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…