Kenya waagiza sukari na unga kutoka Israel

Mungeanza utaratibu wa kuwezesha mazao yakapatikana kupitia kilimo na hio GDP yenu kwa kutengeza mazingira ya kilimo kwanza sio kubwabwaja tu kumbe nyumbani njaa.

Una range rover unaishi kwenye chumba cha kupanga.... afu unajisifia maendeleo
Kwenye swala la kuwa na gari huku unaishi kwnye upangaji sio tatizo as long as upo comfortable.
 
Ni kwamba unapoona wazungu au hao wakubwa wamefungua ubalozi kokote duniani utashangaa wanawafanyakazi wengi sana na wengi wao in economic espionage yaani majasusi uchumi, INA maana wao Kazi yao ni kupeleleza jinsi mnavyotumia mlichonacho kujiendeleza na jinsi mnavyoshindwa kukabiliana na changamoto zinazowakabili na ndio maana wanajifunza na kuondoka na Mengi mengine Sir kwetu tunaona ni ya kipuuzi ila kwao hakuna jambo LA kipuuzi, hii ndio tofauti yao na sisi, na kwetu Sir ubalozini badala ya kupelwka watu waliobobea kwwnye mambo ya economic espionage tunapeleka wanasiasa uchwala ambao walishindwa kwenye uchaguzi nyumbani na hata wakati mwingine kwwnye chaguzi za ndani za kichama sasa Kwa mtindo huu tutasindikiza sana, lingine kabla sijaondoka lazima tuwape pesa watafiti wetu waliojaa vyuoni hawana LA kufanya zaidi ya kufundisha na hakuna utafiti wanaofanya Kwa manufaa ya nchi, na matokeo yake tunategemea utafiti Wa zao LA korosho toka ujerumani wakati wao hawalimi karosho na wala zao hill halistawi matokeo yake Mbegu inakuwa haioti na kushambuliwa na wadudu Kwa urahisi, lazima tufanye tafiti ktk Kilimo sio kutengeneza magari na silaha kwani hatuwezi na hatutaweza tutapoteza muda na resource ndogo tulizonazo kwanza tujitosheleze kwenye chakula kisha elimu na miundombinu na Afya. Kidokidogo tutafika na tutaheshimika.
 
Kwenye swala la kuwa na gari huku unaishi kwnye upangaji sio tatizo as long as upo comfortable.
Umeona nimezungumzia gari aina gani? sijazungumzia mark2 wala crown... nimetaja kitu Range rover, a car that costs more than 100 million, this is not a case of comfortability, its a case of limbukeni. Buying a car over having your own house as a security for your life? Think twice
 
Tanzania tumeiosma namba baada ya serikali kuzuia sukari isiingie kutoka nje ambayo wafanya biashara ndio walikuwa wakileta, hata hivo wafanya biashara walikuwa wakificha sukari wakitaka wauze kwa bei ya juu.

Hamuna hela za kutosha za kujaribu kupunguza watu waishie kwenye slums? Hebu nisaidie MK254, huu uchumi mnaojisifia, ni uchumi wa serikali au ni uchumi wa wananchi?
 
Kilimo in sayansi...nchi yetu imetupilia mbali swala LA kilimo zimebakia Sera ambazo hazitekelezwi,wakulima wamekata tamaa watu wanalima wanapata mazao soko linawaangusha,in short there is no support from gov..
Kipaumbele in viwanda vya mawazo kwa sasa...
Adui mwombee njaa.....
 
AH brother trying to run away from what you started. Si mmekuja hapa kujisifia uchumi wenu mkubwa uchumi wenu hivi, nyie ndio bora EA nzima. Nyie ndio hamuwezi kuanzisha mada kama hamjaitaja Tanzania japo habari haihusu. Mnaweza mkaja na habari mkasema "Mamalaka ya hali ya hewa kenya inatabiri upepo wa kiasi sio kama ule wa Tanzania" Yaani Tanzania kwenye habari zenu haitoki kwenye midomo yenu, so the people who never brushed their teeth since the start of their nation is you guys. Why dont you act like real men? may be if you did your women wouldn't beat you up. But You cant come with Kenya News without mentioning Tanzania, thats being a mama boy.

And mimi sijifariji kuwa kenya iko na slums, because thats a fact, 56% of your population are living in Slums, then you are coming here bragging being the best economic developed country 😀 Its a Shame, if we look at those statistics it shows this economic you are talking about benefits the leaders and not you ordinary citizens.

Kwa vile mmeguswa ndipo sasa na uchumi wenu ndio unajidai having slums has nothing to do with your development! Poor you guys
 
Poor Kenyans wanapangiwa chakula kila mwaka
Wapo apa wanarusha povu ,na povu ata halitoki mate yamewakauka sababu ya njaa
Kwa kuwashauri bure anzisheni kilimo cha umwagiliaji kuliko kuendelea kujisifu na uchumi wa kati uku mnakufa njaa kila mwaka

Uchumi umeshikwa na watu wachache wengine asilimia 90 wapo kwenye slum
 
Upungufu wa unga, sukari na maziwa sio uhaba mkubwa wa njaa.

Wewe ni mpumbavu mkubwa. Basic food stuff hazipo halafu wewe unakuja na ujuha wako eti upungufu wa unga sukari blah blah si upungufu wa chakula. Hivi wewe unajua wananchi wa kawaida wangapi wameathirika na kukosekana kwa vitu hivyo kwenye maduka ya mitaani!!??
 
The same statistics that indicate that 56% of the Kenyan urban population live in slums also state that 72% of Tanzanians in urban areas live in slums, that 67% of them are desperately poor and that they have the most cases of malnutrition (Tamzania comes third in Africa).......so, DAYOOM!

 
It's still about comfortability.
Taking myself as an example, what I pay for rent is a bit higher than what my tenant pays me for my house. I just preferred being closer to town so I spend alittle more time at home and with my family than on the road. So ningejua, iyo hela niliojengea I could have invested elsewhere.
Now the range rover guy could be living in a rental apartment somewhere in masaki but has heavily invested in say government bonds. So yes he might not own a house per say but he is comfortable in his rented apartment.
"Kujenga" might not be a univeral ticket to success, life doesn't have one formula that works for everybody what's important is how comfortable and happy you is.
 
I should have elaborated what i meant. Imagine you own a range rover living in a rented house somewhere may be in Jangwani. Anyways even if you stay in masaki, i think the person who owns his house is more comfortable than the one who rented it. Labda uwe mgeni nchini i'll understand. The best life formula is to know anytime you might fall. Tunaona watu wanavohangaika kulipa kodi ya nyumba, imagine this person angekuwa ana nyumba yake mwenyewe. Nyumba ina stara, and a house is a big investment. I believe people workong legal jobs wish to have their own house
 

And nationwide what was our percentage back then and now? And your country? I dont see us bragging about being the best economically. In fact even when our government says our economy grows the people disagree with them because we look at our lives, have they gone better compare with the statements? We live in reality.... may be if you also live in it, you would stop bragging about it and compare to Tanzania. How can you compare you good economically developed country to that one you "know" poor economically? A good comparison would be Kenya vs SA, Nigeria, Angola, Egypt, ghana dont you think? But you compare with TZ because you are in the same level as TZ, so when you go slightly high, you entertain yourself with us.

Ferrari competition isnt against toyota altezza, but with lamborghini/maserrati and the likes. When ferrari compares itself with the altezza, it means they are insecured about their perfomance.

What if you bring your news and stop comparing to TZ and may be go for the countries on same level as yours, it wont hurt you right?
 
Hii ndiyo tofauti ya mtu wa chini wa Kenya na MTU wa chini wa Tanzania!
MTU wa chini wa Kenya ni maskini hasa! Hana Nyumba ya kwake, hana shamba, hana ajira! Lakini mtu wa chini wa Tanzania unakuta ana heka zaidi ya kumi za ardhi! Ana Nyumba ya kwake hata kama si nzuri sana na ana uwezo wa kujiajiri!
Hata vijana wanaohangaika mijini ni tatizo LA akili tu! Maana wameacha mashamba vijijini na kukimbilia mijini!
Tanzania hatuna tatizo LA umaskini maana nchi yetu INA raslimali nyingi sana za asili na mito mingi na ardhi nyingi na sehemu kubwa haijaanza kutumiwa!
Tatizo kubwa LA Tanzania ni elimu na upungufu wa uzalendo! Adui ujinga na ufisadi bado unatusumbua! Magufuli amejitahidi sana kupiga vita ufisadi na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini mafisadi bado wapo wanasubiri miaka 10 ipite!
Elimu tunayoihitaji Tanzania ni mwamko tu wa kutumia na kuthamini ardhi na raslimali nyingine kitaalam zaidi! In fact we are far better off than most of the African countries including Kenya!
 
anaehangaika kulipa rent is either overeaching his means au mfumo wa ulipaji wa kodi ndio sio rafiki. a house is a big investment but sure it's not the biggest.
 
anaehangaika kulipa rent is either overeaching his means au mfumo wa ulipaji wa kodi ndio sio rafiki. a house is a big investment but sure it's not the biggest.
A house is a better security than a range rover
 
A house is a better security than a range rover
That much I agree but what I meant was that owning a house is not a formula that works for everyone!
A case in point is that I am far much more comfortable as of now living as a tenant than if I was to live in my own house even though it would be cheaper. Had I not built I wouldn't have built, at least not now and definitely not in town. What I will need when the kids are older is a retirement home far away from the city noise and pollution.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…