Kenya: Waandamanaji zaidi ya 50 wakamatwa

Kenya: Waandamanaji zaidi ya 50 wakamatwa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
KENYA: WAANDAMANAJI ZAIDI YA 50 WANAOPINGA UKATILI WA POLISI WAKAMATWA
-
Maandamano ya SabaSaba yaliyokuwa yanaendelea Nairobi yamewafanya watu zaidi ya 50 kukamatwa na polisi. Waandamanaji hao walizua rabsha na polisi walipokuwa wakipinga matumizi ya nguvu yanayotumiwa na polisi wanapowakamata raia
-
Kamanda wa Polisi wa Nairobi, Philip Ndolo alisema wanaharakati walioanzasha maandamano hayo hawakuwataarifu polisi kuhusu maandamano hayo kushika hatamu katika mitaa
-
Kamanda Ndolo alisema waliokamatwa wataachiwa kwa dhamana ya fedha taslimu lakini watahitajika kuripoti polisi Jumatano Julai 8 kwa ajili ya kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kukusanyika bila kufuata sheria
====
More than fifty people were on Tuesday arrested in Nairobi following the Saba Saba demonstrations.

The protesters engaged police in running battles in most parts of the city as some were condemning police excesses in handling civilians.

Nairobi Police Commander Philip Ndolo however said the activists did not inform the relevant authorities about their plan to take to the streets.

Mr. Ndolo said those who were arrested would be released on cash bail but will be required report to police stations on Wednesday from where they will be taken to court to answer to charges of illegal gathering.

He added that those who have no cash to pay for bail will be released on free bond but will also appear in court.

The police boss said the move to release the suspects was taken following the government’s containment measures of the COVID-19 pandemic.
 
Wadanganyika, hebu niambieni, mtaona kitu kama hiki wapi Afrika Mashariki kama sio Kenya????

Kumbuka imefanyika leo 07/07.


 
Ukisikia failed state ndio hii sasa
EULyMSyXsAAi-vu-1.jpg
EULyMS7WkAEETLW.jpg
EULyMSxXYAI5U9V.jpg
EULkgUEXkAAJsAp.jpg
EULho0RXgAAV4Tc.jpg
EUL0UwCXsAAeV9u.jpg

Wadanganyika, hebu niambieni, mtaona kitu kama hiki wapi Afrika Mashariki kama sio Kenya????

Kumbuka imefanyika leo 07/07.


 
Mbona tunaaminishwa hapa hii nchi ya kenya in demokrasia sana? kuandamana ni haki ya msingi ya kidemokrasia, polisi kutumia nguvu kupita kiasi siyo sawa, wagonjwa wa covid 19 wanaongezeka lockdowan inaondolewa angali iliwekwa kukiwa na wagonjwa 9 tu! Poor KENYANS
 
Duh.. Umeua mkuu.

Hivi huko wanaishi watu au wanyama?
Serikali ya Kenya haitofautiani sana na Serikali ya makaburu wa Africa kusini jinsi walivyokua wanawatesa na kuwaua watu weusi, ukisikia wanasema "Kenya not yet Uhuru", sio kwamba ni utani, kumbuka aliyeandika kitabu hicho alikuwa ni makamu wa rais wa Kenya, ila yeye alikua anafuata siasa za ujamaa, alifurahishwa sana na jinsi Nyerere alivyokua akiongoza Tanzania.
 
Inshort hii ndo taswira halisi ya afrika... kuna jamaa watakuja kupinga hapa
 
mkuu tema mate chini, ingekuwa ni hapa kwetu bongo siungekuta hao waandamaji muda huu wote wapo hospital na P.O.P??!!.
Mkuu huo wako sasa ni ushabiki usio kuwa na maana yoyote, angalia post #10 hapo juu, ulishaona wapi hapa nchini visa kama hivyo?, Kenya inaongoza Afrika kwa police killibgs & brutality kwa mujibu wa vyombo vya UN, hiyo nayo pia unapinga?.

Tanzania ni namba 7 kwa amani Afrika na 54 duniani, wakati Kenya duniani ni namba 125, na sababu kubwa ni ukatili wa POLISI wa Kenya.
 
Back
Top Bottom