Maana yake ,ccm ina nguvu ,ni maarufu na inapendwa Africa mashariki na Africa kote.Nchini Kenya wameamua kuanzisha chama chao cha siasa kiitwacho CCM-Kenya (Chama cha Mashinani-Kenya) ambacho kinaongozwa na Mh. Isaac Ruto.
Na kimejipanga kushiriki uchaguzi mkuu Wa Kenya mwana huu 2017.
Tupe maoni yako juu ya hiki chama cha CCM Kenya.
Huu ni upunguani!Nchini Kenya wameamua kuanzisha chama chao cha siasa kiitwacho CCM-Kenya (Chama cha Mashinani-Kenya) ambacho kinaongozwa na Mh. Isaac Ruto.
Na kimejipanga kushiriki uchaguzi mkuu Wa Kenya mwana huu 2017.
Tupe maoni yako juu ya hiki chama cha CCM Kenya.
Nchini Kenya wameamua kuanzisha chama chao cha siasa kiitwacho CCM-Kenya (Chama cha Mashinani-Kenya) ambacho kinaongozwa na Mh. Isaac Ruto.
Na kimejipanga kushiriki uchaguzi mkuu Wa Kenya mwana huu 2017.
Tupe maoni yako juu ya hiki chama cha CCM Kenya.
Itakuwa unalipenda hilo neno mkuu. Jitahidi kutafuna mbegu za maboga zitakuongezea hamu.Nikisoma neno ccm huwa napoteza hamu ya kula na siku inaharibika
Mbona sisi tuliiga KANU? Na je, Mandela mbona aliiga wimbo wetu wa Taifa? Kuazima ni rukhsa.Nchini Kenya wameamua kuanzisha chama chao cha siasa kiitwacho CCM-Kenya (Chama cha Mashinani-Kenya) ambacho kinaongozwa na Mh. Isaac Ruto.
Na kimejipanga kushiriki uchaguzi mkuu Wa Kenya mwana huu 2017.
Tupe maoni yako juu ya hiki chama cha CCM Kenya.
Wangejua jinsi jina hilo lilivyo na gundu wasingelitumia kabisa. Ni sawa na uzae mtoto umuite IbilisiNi sawa ila wavumilie wakianza.kutekwa maana kitaitwa Chama Cha Mauaji Kenya.
una ujauzito wa miezi mingapi?Nikisoma neno ccm huwa napoteza hamu ya kula na siku inaharibika