Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Unazidi kuonyesha ulivyo bogus, unatumia nguvu nyingi kuandika hizi insha ambazo sizisomi maana nina uhakika zimesheheni pumba, sentensi moja ya kwanza imetosha nione ulivyo na upeo mdogo. Acheni uzembe mjifunze kuandika, kuongea na kusoma zaidi ya lugha moja hususan Kingereza maana ndio lugha ya dunia inayotumiwa kuunganisha dunia, leo Mchina akitaka kuuza bidhaa zake duniani, lazima ajifunze kingereza.
Ndio maana huwa mnapigwa sana kwenye mikataba ya raslimali zenu, kila kitu mnaangukia pua, korosho, gesi n.k. Tatizo uzembe wa kuganda kwenye lugha moja.
Na Wewe mpumbavu, unawezaje kumjibu mtu bogus???.
You are a blind fool, by the way what does the word bogus mean???, then you pretend to know English while you don't know how to use English word syntactically.
انت مجنون.