Kenya: Wabunge kuanza kutumia lugha ya Kiswahili Bungeni kila Alhamisi

Kenya: Wabunge kuanza kutumia lugha ya Kiswahili Bungeni kila Alhamisi

Unazidi kuonyesha ulivyo bogus, unatumia nguvu nyingi kuandika hizi insha ambazo sizisomi maana nina uhakika zimesheheni pumba, sentensi moja ya kwanza imetosha nione ulivyo na upeo mdogo. Acheni uzembe mjifunze kuandika, kuongea na kusoma zaidi ya lugha moja hususan Kingereza maana ndio lugha ya dunia inayotumiwa kuunganisha dunia, leo Mchina akitaka kuuza bidhaa zake duniani, lazima ajifunze kingereza.
Ndio maana huwa mnapigwa sana kwenye mikataba ya raslimali zenu, kila kitu mnaangukia pua, korosho, gesi n.k. Tatizo uzembe wa kuganda kwenye lugha moja.


Na Wewe mpumbavu, unawezaje kumjibu mtu bogus???.

You are a blind fool, by the way what does the word bogus mean???, then you pretend to know English while you don't know how to use English word syntactically.

انت مجنون.
 
Na Wewe mpumbavu, unawezaje kumjibu mtu bogus???.

You are a blind fool, by the way what does the word bogus mean???, then you pretend to know English while you don't know how to use English word syntactically.

انت مجنون.

Nashukuru imekuingia, umeanza darasa vizuri, sasa huyo anayekufundisha Kingereza mwombe akupe darasa namna ya kutumia "punctuation" vizuri, usitiririke tu, ukiwa tayari uje tujadili hoja, japo pia ujifunze kutumia ubongo wakati unaandika.
 
Wewe hujiulizi kwanini huwa mko nyuma hivyo kwenye kila kitu, ni kwa sababu mumeganda kwenye lugha moja na hata hiyo moja huwa hamjaimudu ipasavyo, angalia sana uandishi wenu wa Kiswahili, huwa na matatizo mengi sana.

Lugha zenu za asili mumeshindwa kuzitumia, wengi hata hamjui salamu kwa kutumia lugha zenu za asili, na hata lugha za kigeni kama Kiswahili kinawapa changamoto haswa kwenye uandishi, halafu Kingereza ndio kilishawakataa kuanzia kwa kajamba wa Mbagalla mpaka kwa wakuu mjengoni, kimewagomea kabisa.

Utafiti wa kisayansi umebaini namna uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja humboresha mtu kwenye ubongo https://www.washington.edu/news/201...le-languages-may-make-it-easier-to-learn-one/
Nimesoma nikaishia kusikitika tu, kwamba kiswahili ni lugha ya kigeni kwa nchi kama Tanzania. Hili siyo kosa lako, huenda usomaji wako wa kiswahili na uelewa kuhusu historia ya kiswahili ikawa ni shida kwako.

Mara nyingi huwa sijibu hoja dhaifu kiasi hiki, lakini kwa kuwa wewe umejinasibu waziwazi kuwa ni Mkenya nitakusaidia kitu kimoja tu. Nenda kasome kitabu kimoja kimeandikwa na Mkenya Ngugi wa Thing'o kinaitwa "Decolonising the Mind" harafu uje tuanze kujadili upya hoja.

Nchi kama Tanzania, ni nchi pekee zinazopaswa kupewa heshima yake kwa kuuonyesha ulimwengu kuwa sisi ni WaAfrica. Ni nchi inayoheshimu tamaduni na Mila za Kiaafrika. Ni nchi inayotumia Lugha ya Afrika inayotambulika kimataifa. Heshima ya Afrika katika masuala ya Lugha duniani ni Kiswahili tu.

Kwa hiyo naunga mkono hatua ya Bunge la kenya kuanza harakati za kujikomboa kifikra, hata wanaobeza ni kwamba hawajapata muda mzuri wa kufikri katika hilo. Wakenya wamehangaika na vuguvugu la kikabila kwa muda mrefu sana, hiyo haimaanishi kwamba hawawezi kujikombowa kutoka katika huo uzandiki na Ufedhuri walionao. Wanatakiwa kuweka misingi imara za kuzifanya lugha zao za makabila ziwe za kawaida, na kwamba wawe na Lugha moja inayotokana na lugha hizo inayoweza kubeba tamaduni zao na kama njia ya mawasiliano pia.

Nitatumia maneno magumu kidogo hapa "Wakenya wengi ni watu wenye rangi nyeusi kwa nje lakini ndani ni Wazungu wadogowadogo, kwa maana ya kuwa hawana lugha inayoweza kubeba vyote tamaduni na kama nyenzo ya mawasiliano". "Kwa maana hiyo ni watu tu wasio na "roho". Na sishangai kuona baadhi ya watu hasa hawa wazungu weusi wa kenya kujinasibu kwa kuongea kingereza na kuona kikuyu/Kiswahili ni Lugha "Duni na za Kishenzi".

Huenda ningeandika uzi kabisa katika hili lakini naomba niishie hapa.
 
Nashukuru imekuingia, umeanza darasa vizuri, sasa huyo anayekufundisha Kingereza mwombe akupe darasa namna ya kutumia "punctuation" vizuri, usitiririke tu, ukiwa tayari uje tujadili hoja, japo pia ujifunze kutumia ubongo wakati unaandika.


Wewe ndiye unayejivuna na ujuzi wa kiingereza cha wazungu , mimi sijajivuna na lugha yoyote ya kigeni, mimi ni mswahili najivunia kiswahili.

Mshamba weeee na mtumwa wa lugha za kigeni. Your are a black bump.


انت مجنون
 
Nimesoma nikaishia kusikitika tu, kwamba kiswahili ni lugha ya kigeni kwa nchi kama Tanzania. Hili siyo kosa lako, huenda usomaji wako wa kiswahili na uelewa kuhusu historia ya kiswahili ikawa ni shida kwako.

Mara nyingi huwa sijibu hoja dhaifu kiasi hiki, lakini kwa kuwa wewe umejinasibu waziwazi kuwa ni Mkenya nitakusaidia kitu kimoja tu. Nenda kasome kitabu kimoja kimeandikwa na Mkenya Ngugi wa Thing'o kinaitwa "Decolonising the Mind" harafu uje tuanze kujadili upya hoja.

Nchi kama Tanzania, ni nchi pekee zinazopaswa kupewa heshima yake kwa kuuonyesha ulimwengu kuwa sisi ni WaAfrica. Ni nchi inayoheshimu tamaduni na Mila za Kiaafrika. Ni nchi inayotumia Lugha ya Afrika inayotambulika kimataifa. Heshima ya Afrika katika masuala ya Lugha duniani ni Kiswahili tu.

Kwa hiyo naunga mkono hatua ya Bunge la kenya kuanza harakati za kujikomboa kifikra, hata wanaobeza ni kwamba hawajapata muda mzuri wa kufikri katika hilo. Wakenya wamehangaika na vuguvugu la kikabila kwa muda mrefu sana, hiyo haimaanishi kwamba hawawezi kujikombowa kutoka katika huo uzandiki na Ufedhuri walionao. Wanatakiwa kuweka misingi imara za kuzifanya lugha zao za makabila ziwe za kawaida, na kwamba wawe na Lugha moja inayotokana na lugha hizo inayoweza kubeba tamaduni zao na kama njia ya mawasiliano pia.

Nitatumia maneno magumu kidogo hapa "Wakenya wengi ni watu wenye rangi nyeusi kwa nje lakini ndani ni Wazungu wadogowadogo, kwa maana ya kuwa hawana lugha inayoweza kubeba vyote tamaduni na kama nyenzo ya mawasiliano". "Kwa maana hiyo ni watu tu wasio na "roho". Na sishangai kuona baadhi ya watu hasa hawa wazungu weusi wa kenya kujinasibu kwa kuongea kingereza na kuona kikuyu/Kiswahili ni Lugha "Duni na za Kishenzi".

Huenda ningeandika uzi kabisa katika hili lakini naomba niishie hapa.

Wewe nawe umeibukia wapi unatiririka bila kujua treni inasafiri kutokea wapi na kwenda wapi, Kiswahili hakikuwepo kabla ya ujio wa Mwarabu, ndiye baada ya kuwabaka mababu zetu akaunga unga na maneno ya Kibantu na Kiarabu, alianzia kwa kwa kabila la Pwani ya Kenya linaloitwa Wangozi, nenda katafiti historia ya Kiswahili. Hata neno lenyewe Swahili asili yake Kiarabu "Sawahil".
Halafu hiyo Tanzania unayoitaja taja hapa haikuwepo kabla ya ujio wa Mzungu, ndiye alikuja akachora chora mipaka baina ya ndugu, akaita huko Tanganyika na huku Kenya na kwingine Zambia halkadhalika.
Msukuma lugha yako ya asili ni Kisukuma, wacha kukitelekeza, kabla haujaanza kuparamia lugha za watu kwanza enzi lugha yako ya asili. Kisha baada ya hapo fuata Kiswahili ili kikuwezeshe kuwasiliana na watu wasio wa asili yako huko Tanzania na Kenya, zaidi ya hapo jifunze Kingereza uweze kuongea na dunia, na pia Kingereza kitakuwezesha kusoma bidhaa zote mnazoagiza kutoka nje maana hamna uwezo wa kubuni chochote, hata sindano mnaagiza.
Acheni uzembe wa kujificha nyuma ya neno "uzalendo".

Binafsi napenda sana Kiswahili, nakitumia sana kwa siku hususan kwenye mishe zangu, lakini sina huo uzezeta wa kuganda kwenye lugha moja, lazima nitumie ubongo wa kujua wapi stahiki yake.
 
Back
Top Bottom