Kenya wafunga Politician kwa Prison kisa kumtukana Uhuru

Ha ha ha ha, eti mseme rais unavyotaka. Nyie mmeipaka mafuta mwaita eti hate speech na incitement lakini kimsingi ni yaleyale tu. Ha ha ha

Niambie kama Bongo unaweza kumuita rais 'mtoto wa mbwa' 'mwizi, mbwa, fisi' na ukabaki hai, tazama hizi video




 
Niambie kama Bongo unaweza kumuita rais 'mtoto wa mbwa' 'mwizi, mbwa, fisi' na ukabaki hai, tazama hizi video





Kwani Kenya unaweza? Ingekuwa inawezekana kusingekuwa na kesi ya kujibu kwa huyo mbunge.
Ama kumdunga sindano za usingizi Miguna Miguna na kujipata yuko Canada. Eti mahakama ziko huru, acha kabisa ni maigizo tu mnafanya mahakamani mbona Miguna hajarudi pamoja na maigizo ya mahakamani. Bro is just the same monkeys video in different forest
 

Kenya unaweza kumtukana rais ila utashtakiwa kwenye mahakama ya kawaida maana kumtukana mtu yeyote ni kosa la jinai, lakini kwenu huko mwanafunzi kupiga picha ukuta wa chuo, au mwingine kapiga picha ya mahangaiko ya maji kisha akatoweka. Kuna yule jamaa anaitwa Kabendera anaozea gerezani kisa kaikosoa serikali.
Mpo bado sana, ni aibu sana kwa nyie kujaribu kujifananisha na Kenya, level yenu mkapimane na akina Burundi huko.
 

KWahiyo kwetu kumtukana mtu yoyote na rais si kosa la jinai? Kusema watu kupotea Kenya ndo wanaongoza kwa kupoteza watu watu.
Kwani kosa la Miguna Miguna ilikuwa nini si kuwakosoa serikali? Na prof yule aliyetunguliwa kwenye helkopita huko Kenya? Sahivi mnamwinda hata Makamu wenu wa Rais Ruto. Wacha kuwa kama ostrich kuweka kichwa kwa mchanga mwili mwingine nje eti umejificha. Kenya kwa ku assasinate watu ni beyond repair in relation to Tanzania.

Nikutajie kabisa maana utaleta longo longo hapa.
1.Jacob Juma
2.Chris Msando
3.George Muchai
4.Meshack Yebei
5.Sheikh Abubakar Shariff aka Makaburi
6.Aboud Rogo
7.Careen Chepchumba
8.George Thuo
9.Mercy Keino
10 Oscar Kamau King’ara
........
 
Juma, a wealthy businessman with interests in mining, property and agriculture, was driving home from a bar to his residence on Thursday night when assassins riding on a motorbike shot at his car ten times before speeding off. Police say nothing was stolen from the businessman as two mobile phones and cash were found in the vehicle.

He was an outspoken critic of the Kenyan government, often accusing the President Uhuru Kenyatta, his Deputy William Ruto, and other key government officials of mishandling public funds. Last year, he warned on Twitter, where he had a large following of more than 27,000 followers, that there was a plot to assassinate him because of his outspoken views.
 
Mnafungia makamu wa rais kwa hotel harafu unakuja na propaganda za eti unaweza ongea. Kitendo hicho ni south Sudan na Kenya tu ndo wanaweza fanya.

 
Kama mwatisha hadi DP wewe common mwananchi kukunyonga hata watu hawaongelei wanaona ni BAU tu huko Kenya.Ndo tofauti iliyo na Tanzania. Tanzania mwananchi mchovu akibanwa watu wanafuatilia na habari inasambaa siyo huko kwenu.

 

Tatizo unabwabwaja na kuchanganya hoja incoherently, kutaja taja matukio ambayo hayaendani.
Kenya upuzi wa mtu kutoweka huwa aidha ni high level politics, mibabe wa kisiasa wanawindana kwenye high level. Lakini nyie hapo maskini mwanafunzi kidagaa kapiga tu picha inatosha kutoweka.
 

Ni kwasababu kwenu vidagaa vinapotea na hamna wa kuvipazia sauti. Lakini kwenu vidagaa vinapotea sana beyond repair. Police wa kenya anaweza kuamka tu barabarani akaua watu 10 akasema wakora. Ha ha ha , bora Tanzania wanapotea na kurudi kwenu wanaua mchana kweupe na mnaufyata na hauongelewi sababu hana pesa.
 
(Nairobi) – Police in Kenya have killed no fewer than 21 men and boys in Nairobi’s low-income areas, apparently with no justification, claiming they were criminals, Human Rights Watch said today. The extrajudicial killings point to a broader problem of police using excessive, unlawful force in the name of maintaining law and order in Nairobi’s informal settlements and failing to comply with the law in ensuring all police killings are reported, investigated, and those responsible for unlawful killings are prosecuted.
 
Alarm as Police Kill 24 People in 21 Days in Nairobi

 

Hutakuta Mkenya anateswa na serikali kisa kakosoa, hayo yalikua ya miaka 80s, ambayo nyie mpo sasa.
Nakuhakikishia mambo ambayo hufanywa na Wakenya wa kawaida, jinsi wao hukosoa serikali na kuanika kila kitu, hamjafikia level hiyo na hamuwezi, na haitokuja siku.

Kwenu huko mtu wa kawaida kukosoa labda awe nje ya nchi, na hata akiwa nje ya nchi inabidi afiche uso asionyeshe sura, hehehe nakumbuka hii video yaani kituko kabisa, unalazimika kuficha sura wakati wa maandamano ambayo unayafanyia nchi ya mbali, inaonyesha namna gani mnaishi masha ya hatari hata kuizidi North Korea, nilicheka sana kwa hii video, Mange tu ndio huwa na ujasiri, sema naye aishie mbali huko asiwahi kuota hataa siku moja kwamba amaerudi nyumbani

 

Acha kujitoa ufaham kaka maandamano ya kurudia uchaguzi watu wangapi walikufa Kenya ni miaka ya 80? ninyi mko nyuma sana, subiri 2022 ndo utaona hamko tu 80 bali old stone age.


Hito ndo mwaka wa 80? Ha ha ha

 
Wale tausi wamesha totoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…