kenya imetangaza kuanzia siku ya ijumaa ni marufuku kutoka nje kuanzia saa moja jioni mpaka saa 11 alfajiri,whether you like it or not (in Uhuru's voice)
Sent using Jamii Forums mobile app
hawa watu Miguna na Raila kumbe walishakosana?,walikuwa marafiki wakubwa sana juzijuzi tu
Aliwapa wapiga picha wakati mgumu sana kwenye ile hafla ya 'kuapishwa' kwa RAO. Kitambi chake kilikuwa kinatokelezea kwenye picha zote. Aliwahi nafasi ya First Lady kwenye hafla hiyo na akakomalia hapo. [emoji1]hawa watu Miguna na Raila kumbe walishakosana?,walikuwa marafiki wakubwa sana juzijuzi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwapa wapiga picha wakati mgumu sana kwenye ile hafla ya 'kuapishwa' kwa RAO. Kitambi chake kilikuwa kinatokelezea kwenye picha zote. Aliwahi nafasi ya First Lady kwenye hafla hiyo na akakomalia hapo. [emoji1]
Aliwapa wapiga picha wakati mgumu sana kwenye ile hafla ya 'kuapishwa' kwa RAO. Kitambi chake kilikuwa kinatokelezea kwenye picha zote. Aliwahi nafasi ya First Lady kwenye hafla hiyo na akakomalia hapo. [emoji1]
God can't save you keep it in your mind..Life is Approaching to bee seen Damn miserable.
God save Us. Your creatures, Your Children