Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Soma text ueleweAcha visingizio, na wewe ni mmoja wao.
Kauli nzuri haipaswi kuwepo kisa pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma text ueleweAcha visingizio, na wewe ni mmoja wao.
Kauli nzuri haipaswi kuwepo kisa pesa
Mi si kilaza hadi nirudie kusoma somaSoma text uelewe
Ajilini professional labour na sio kuokota failures Ili mmwalipe kiduchuMi si kilaza hadi nirudie kusoma soma
Mambo siyo rahisi kama unadhani. Waswahili wanasema kusema siyo sawa na kutenda. Tena hivi ulivyoorodhesha vinaweza kuwa janga la nchi mpaka kila mtu akalaani na kusema ni bora tusingekuwa navyo.tuache blah blah na kudeal na vitu rahisi rahisi..
tuna madini ya kila aina yametapakaa hapa, tuanze uwekezaji wa nguvu kwenye uchimbaji wa madini, uchimbaji wa chuma gas na mafuta...halafu muone kama dunia haitatuheshimu..
Una uhakika km nafanya promo za siasa.Nyie mmejifungia kufanya Promo ya Wanasiasa Insta
True hata mimi nikikuww nataka kuost hichi ulichoandikaInvestment za wakenya zinafanywa na ma tycoon wafanyabiashara na wanasiasa ambao wamehodhi ardhi kubwa na wengine wamefanya ufisadi na kuwa matajiri wa kupindukia ambao wengine ni mabeberu ya kiingereza yaliyoishi na kuwekeza huko miaka mingi. Kwa hiyo tunapofanya initiative zetu tusiwafikirie sana wakenya.......
Sisi tunawakusanya akina Steve nyerere watangaze utalii, hii nchi ina viongozi majuha daaah
Kuwafananisha na Wanaija ni kujipendelea kwa kiasi kikubwa, sisi akili zetu zinafanana na Wacongo.Bongolala ni shida, ni kama akili za wanaija.....
Si kwa mtanzania, mtanzania hata asome vipi bado ataiba tu hata umpe kampuni iwe yake yeye ataiba tu na kuifilisi.Hizo hotel zinaajiri cheap labour, professional labour hawezi kuwa kauli mbaya,udokozi au wizi.
Ukisema Tanzania unakosea mkuu,hilo tangazo ni la mmiliki binafsi mwenye ukwasi mkubwa na anatangaza kwenye shirika lake la ndege na si o kwamba serikali ya Kenya ndio inatangaza.Tanzania huwa tunasoma kutumikia chama na serikali aka CCM na serikali yake..
Siku hizi tunasoma pia ili kuwa mashabiki wa kisiasa..
Na ukizingatia tuna vivutio vizuri kushinda hata hao majirani wetu.Tanzania hatujafanya makubwa kwenye biashara ya utalii,hasa kwenye kujitangaza.
Nakumbuka kulikuwa na Waziri wa Utalii aliweka picha yake kwenye bango la kuitangaza Tanzania JNIA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shida ya wabongo ni ushamba mwingi. Halafu kiongozi akipewa shavu anafocus zaidi kwenye kuuza nyago na kuhakikisha anatumia vema nafasi yake kumake money na kugonga vimwana.Tanzania hatujafanya makubwa kwenye biashara ya utalii,hasa kwenye kujitangaza.
Nakumbuka kulikuwa na Waziri wa Utalii aliweka picha yake kwenye bango la kuitangaza Tanzania JNIA