Kenya wameweza, sisi lini?

Kenya wameweza, sisi lini?

Aaaah Boieng 787-8 hiyo itaenda rout za mbali sana kama unavyoona hiyo KQ haileti Hiyo 787-8 Tanzania.
Kwa upande wa safari za Africa tutapeleka mpaka Dakar, Accra etc hata Ethiopia ila kwa ndege ambazo tutapokea mwezi ujao aina ya Bombadier CS300(JET) sio hizi Q400. Kwaiyo tutarajie kutuona angani soon.
Nyinyi mara ohh mta tuta. Kq already imekuwa ikisafiri kwa miaka mingi to Ethiopia,UG,Dar,S.A, Lagos,Cairo,Kigali,Accra...etc. hizi ni African destinations. NYC-NBO pekee iko na Boieng 787-8 saba operating the route. Alafu mnataka kujilinganisha na Kq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii yenyu ni uchawi.
 
Hao wakenya unaowapigia debe leo KLM akigoma hizo ndege zinasimama sijui unalijua hilo? hapa nchini kuna wahindi wengi sana nikuambie basi na wafanya biashara pia na wanaendesha viwanda kwa sehemu kubwa tu. pole kwani tuende Malekani kufanya nini?
Sasa tunajiuliza Ethiopia wana Ndege nyingi na wananchi wanakufa njaa tena shirika lao linachuana na kina EMIRATES,KLM etc sisi tunawezaje kujivuna kupata tija na vindege vyetu vitatu au hata vinne?
 
Nyinyi mara ohh mta tuta. Kq already imekuwa ikisafiri kwa miaka mingi to Ethiopia,UG,Dar,S.A, Lagos,Cairo,Kigali,Accra...etc. hizi ni African destinations. NYC-NBO pekee iko na Boieng 787-8 saba operating the route. Alafu mnataka kujilinganisha na Kq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii yenyu ni uchawi.
Mkuu toka tumeanza mimi nawewe katika maongezi yetu sijailinganisha KQ na ATCL ila tu tukija hapo siwezi kuilamua KQ ila nitawashushia lawama viongozi wa Tanzania walio pita ambao walichangia kwa kiasi kikubwa kuliua shirika la ndege letu! bila Magufuli leo hii ata Bujumbura tusingekuwa tunajulikana katika nishani za usafiri wa anga.
Magufuli ameifanya ATCL sasa kuanza kujulikana, Kenya mumeanza muda ila nawapongeza ila Tanzania tuko nyuma yenu tunakuja, Sie ndege zetu hatuna mbia na mtu ila Kenya nyuma yenu mukumbuke kuna KLM na lazima mapato mugawane sie mapato hatugawani na mtu ni wamiliki wa ndege zetu.
 
Sasa tunajiuliza Ethiopia wana Ndege nyingi na wananchi wanakufa njaa tena shirika lao linachuana na kina EMIRATES,KLM etc sisi tunawezaje kujivuna kupata tija na vindege vyetu vitatu au hata vinne?
Mkuu hivi unafikiri USA hakuna wenye njaa? wapo sana tu, India hapo sasahivi wanatoa mpaka mikopo kwa nchi za Africa tena mikopo ya Matrillion hivi India wananchi sio maskini?
 
Pichani rais Uhuru wa Kenya akishuhudia safari ya kwanza ya ndege yao kuubwa ya Kenya Air ways ikianza safari za moja kwa moja kwenda Marekani.nauliza tu sisi mbona kimya sana?au dege la kwetu haliwezi kufika Marekani?nashauri tusikubali kupitwa na Kenya.View attachment 914668View attachment 914669

Kumfananisha Mkenya na Mtanzania ' Kimaendeleo ' na hata ' Kiupeo ' bila kusahau ' Uthubutu ' uliotukuka ni sawa sawa leo hii utake Kumfananisha Mchezaji Luiz Suarez wa FC Barcelona ya nchini Hispania na Mchezaji Simon Msuva wa Difaa El Jadid FC ya nchini Morocco. Nadhani nitakuwa nimeeleweka vyema tu hapa.

Shikamooni Wakenya!
 
Ubarikiwe sana
Kumfananisha Mkenya na Mtanzania ' Kimaendeleo ' na hata ' Kiupeo ' bila kusahau ' Uthubutu ' uliotukuka ni sawa sawa leo hii utake Kumfananisha Mchezaji Luiz Suarez wa FC Barcelona ya nchini Hispania na Mchezaji Simon Msuva wa Difaa El Jadid FC ya nchini Morocco. Nadhani nitakuwa nimeeleweka vyema tu hapa.

Shikamooni Wakenya!
 
Hao wakenya unaowapigia debe leo KLM akigoma hizo ndege zinasimama sijui unalijua hilo? hapa nchini kuna wahindi wengi sana nikuambie basi na wafanya biashara pia na wanaendesha viwanda kwa sehemu kubwa tu. pole kwani tuende Malekani kufanya nini?
KLM wanhold only 7.8% ya Kq,government of Kenya 48.9% na kenyan banks 38.1%, go figure
 
Pichani rais Uhuru wa Kenya akishuhudia safari ya kwanza ya ndege yao kuubwa ya Kenya Air ways ikianza safari za moja kwa moja kwenda Marekani.nauliza tu sisi mbona kimya sana?au dege la kwetu haliwezi kufika Marekani?nashauri tusikubali kupitwa na Kenya.View attachment 914668View attachment 914669
KENYA INAKWENDA MAGHARIBI NA TANZANIA INATARAJIA KWENDA MASHARIKI-hakuna matata
 
Kwasasa Kenya kwenye Ndege wametuzid, wao wapo kwenye gemu muda mrefu japo uwa kunakipindi wanatangaza kupata hasara ila shirika lao linaendelea vizur. Sisi shirika la Ndege likitangaza hasara baadhi ya watu kwenye mitandao wanafikir ndio kiboko cha kuichapa serikali. Kwasasa Kenya wanatambua Tanzania chini ya JPM inawafuata kwa kasi katika maeneo mengi waliyo tuzid.Shirika letu la Ndege litafanya vizuri ni swala la muda tu.
Tuanze na hiyo ya "kwa sasa ya nyekundu..." Ni lini Tanzania iliwahi kuwazidi Kenya kwa ndege?

Kisha tuje hapo kwenye blue, ni maeneo gani kwa mfano (with data) ambayo Tanzania chini ya Magufuli inawafuata Kenya kwa kasi kwa yale maeneo ambayo walituzidi?
 
IATA ratings sasa ni around 64% from 34% with new terminal at JNIA plus undergoing improvements in KIA, AAKIA plus Mwanza and Songwe n soon Dodoma, next rating itapanda to over 74% nathani sisi tutapata flight permission even faster than Kenya! Jamaa wamechukua miaka 20 na ushee kupewa permission. Kwa wajuzi wa mambo hawawezi kubeza kinachoendelea TCAA na TAA plus ununuzi wa dreamliners. In next 2-3 years we will be celebrating the same.
tuta,tuki, [emoji23] [emoji23]
 
Kama tunapata marais wenye Utashi wa kutaka kuitoa Tanzania hapa tulipo kama JPM, tunaweza kuwafikia na kuwazidi kenya. Kwanza ATC inatakiwa ianze kutamba hapa nyumbani na kwasasa tayari msuliwao unaonekana kama huamin waulize Fast Jet na Precition watakujibu.

Inachotakiwa waongeze juhudi apa ndani wakiweza kufika mikoa mingi zaidi ndio waongeze njia nje ya Tanzania najua kwasasa ATC wanakwenda Burundi na Commoro najua wanavuta kasi.
Fast jet wamefanyaje? Hivi ule upuuzi wa kuwazuia kipindi flan kwamba wacancel baadhi ya safari zao unaukumbuka? Hivyo ndivyo ushindani unavokuwa? mnatia aibu aiseee
 
India kuna nini tena wakati tunatibiwa hapa mloganzira?


Ha ha ha haha Mloga-nzira... ha ha ha umenifurahisha haswa.......... na ukizingatia siku hizi dala dala mpk pale geitini... Commoro huko kuna nini mkuu?
 
Back
Top Bottom