Tano tena tuko mbio kuchapa siasa za uchaguziKura za Ndio kwa magu
Sina mengi ya kusema Ila huko kwa watani zetu wa jadi kiuchumi Kuna Kila dalili za KUTUELEWA maamuzi tuliyochukua.
Nasikia na wao wanatilia Masha rapid test za Corona na majibu yake.
Kwa mujibu wa citizen hiki ndicho kinasemwa na wizara yao ya afya . Pakua picha hapo chini
Dr. Amoth, DG, MoH: Some of the challenges with rapid kits is that the test could come out as negative & change in 14 days making these false negatives. Sometimes common colds could test positive for coronavirus causing false positives
View attachment 1455613
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenyans are mental and economic slaves.Wakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa
[emoji23][emoji23][emoji23]naona kwenye huu uzi wanapita tu.hawajui wataambia nini watu.
Sio watumwa tu, ni sellouts hawa, sio wa kuwaamini kwenye masuala ya mtangamano wa waafrika, watawauza hivi hiviWakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa
Unajuwa, kitambo nilifikiri tabia hiyo ilikuwa ni kwa kizazi cha zamani, wakina Charles Njonjo na Mzee kenyatta, kumbe mpaka wajukuu wako hivyo hivyo.Sio watumwa tu, ni sellouts hawa, sio wa kuwaamini kwenye masuala ya mtangamano wa waafrika, watawauza hivi hivi
Wakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa