Kenya wanaanza kutuelewa sasa

Kenya wanaanza kutuelewa sasa

Tatizo la wakenya ni kuigaiga mambo ya waitaliano, Spain, England.... hawawezi kusimama wao kama wao....ndio maana hata chaguzi zao ni mauwaji tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hawa maboya wanamwambia nani yani kama vile wa naomba ruksa kwa mabepari yani kunyaland mnajipeleka sana kwa wazungu mtaolewa mwaka huu
Sina mengi ya kusema Ila huko kwa watani zetu wa jadi kiuchumi Kuna Kila dalili za KUTUELEWA maamuzi tuliyochukua.

Nasikia na wao wanatilia Masha rapid test za Corona na majibu yake.

Kwa mujibu wa citizen hiki ndicho kinasemwa na wizara yao ya afya . Pakua picha hapo chini

Dr. Amoth, DG, MoH: Some of the challenges with rapid kits is that the test could come out as negative & change in 14 days making these false negatives. Sometimes common colds could test positive for coronavirus causing false positives


View attachment 1455613

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa
 
Wakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa
Kenyans are mental and economic slaves.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]naona kwenye huu uzi wanapita tu hawajui wataambia nini watu.
 
Wakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa
Sio watumwa tu, ni sellouts hawa, sio wa kuwaamini kwenye masuala ya mtangamano wa waafrika, watawauza hivi hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio watumwa tu, ni sellouts hawa, sio wa kuwaamini kwenye masuala ya mtangamano wa waafrika, watawauza hivi hivi
Unajuwa, kitambo nilifikiri tabia hiyo ilikuwa ni kwa kizazi cha zamani, wakina Charles Njonjo na Mzee kenyatta, kumbe mpaka wajukuu wako hivyo hivyo.

Hata sisi, tumshukuru Mungu tulikuwa na kiongozi (Nyerere) aliyejaa maono, akaivunja ile nira ya fikra za kitumwa, la sivyo tungekuwa kama nyang'au tuu.
 
Usiwalaumu ukiwa na njaa hata uwezo wa kufikiri unapungua
Wakenya niliwaona kuwa kifkra bado ni watumwa kwa mzungu kwenye matukio mawili ya dawa zinazodhaniwa kutibu corona.
Dawa ya Madagascar japo bado kuna mitazamo kinzani kuhusu uthabiti wake kutibu huu ugonjwa ila Kenya hawakuwahi hata kuagiza chupa mbili wajiridhishe kuhusu uthabiti wake ila wazungu walivo tangaza uwezekano wa Remdesivir na Chloroquine kutibu corona haraka sana wakenya wakaagiza kuanza kuzifanyia majaribio. Inaweza kuonekana kawaida ila ukijipa muda kutafakari unagundua hawa majirani kifkra bado ni watumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Updates:
Trump leo ameagiza makanisa na za ibada zifunguliwe Marekani yote.
Havana atakayekaidi ata override mamlaka yake.

Kama Marekani wamechukua hatua hii basi Ni vyema dunia ijue na itambue sisi Tanzania tulishaliona hili mapema na waje wajifunze kwetu namna ya kuishi nalo.
Screenshot_20200523-070645.jpeg
Screenshot_20200523-070625.jpeg
Screenshot_20200523-070603.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom