lakini mama yuko smart sana kichwani, haendeshwi na mihemko. haropoki ovyo ovyo na kutoa kauli chafu chafu kama aliyemtangulia wala kukurupuka out of nowhere. naweza sema yuko humble sana and in that caae..... lazma tumzibiti kwa kila namna, upende/ ukatae.kwa kifupi mama inatakiwa apige spana mwanzo mwisho mara 10 zaid ya jiwe.Asiwachekee hovyo.
CCM is incharge of Tanzania.. Chama tawala. Every corrupt CCM central coimmitee was purged. Magufuli policy continues, sorry the country is nt under your homosexual friend lissulakini mama yuko smart sana kichwani, haendeshwi na mihemko. haropoki ovyo ovyo na kutoa kauli chafu chafu kama aliyemtangulia wala kukurupuka out of nowhere. naweza sema yuko humble sana and in that caae..... lazma tumzibiti kwa kila namna, upende/ ukatae.
hongera Mama Samia. sote tuko nyuma yako
Kawafungue media zao kama mlivyozoea hapo kwenuNimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.
Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.
Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.
Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Im wondering too, this people are a special breed, wanachukia facts and ukweliUkweli hampendi kamwe, propaganda imegandisha akili zenu, ukweli hauwezi kuingia![emoji23][emoji23][emoji23]., Yani MK254 kaeleza vizuri yale mliofanya na kuna evidence, wewe unakuja na matusi, ungepinga kama sio ukweli ama ufyate., sio lazima ujibu hoja.[emoji23][emoji23]
Thank you for indirectly admitting that kenyans are hardworkers and go gettersWakenya wamezoea sana kuitumia Tanzania . Kipindi hiki cha jiwe walifyata sana kazi ualimu ziliota mbawa , umeneja mahotelini mbawa, u ceo kwenye masharika mbawa, ununuzi wa Tanzanite ki holela mbawa nk nk. Hawa jamaa hawawezi kumpenda Chuma hata kidogo. RIP Chuma. Asante sana kwà kutukomeshea nyangaus . Mama Samia endeleza mfumo huo huo mpaka nyangaus waone rangi zote . Shenzi type
Sasa kwani vyombo vya habari vya Tanzania vimekatazwa kufanya coverage kubwa ya kifo cha magu?...wafanye tu na wahoji watu wanaohisi watakuwa na maoni positive kwa magu!..sasa unataka kuzipangia media za kenya vitu vya kutangaza?acha utoto!!
See this mazafakaWatanzania acheni ujuha, yaani mumekaa mnafuatilia media za Kenya, ina maana za kwenu zipo kimya au nini sababu za kuhangaika utumie media za majirani zako kufuatilia yanayoendelea ndani ya nchi yako, unless kama wewe ni Mtanzania unayeishi Kenya, haingii aikilini.
Huu ni muda wa kutafakari wapi mlitegukia, nini cha kurekebisha.
Wee nyangau tuliza mshono hivi unadhani tunaogopa . Yaani Mama hata akikaza hata Mara 20 we don't care so long as the so called sleeping Giant is running now. Nawaombea na wasomalia wawashinde ICJ ili tuwatawale kisawa sawakwa kifupi mama inatakiwa apige spana mwanzo mwisho mara 10 zaid ya jiwe.Asiwachekee hovyo.
Admitting what you poor nyangau ? Nyangau is always nyangau. You are not hard worker rather we assisted you in shouldering some of your unemployment burdens . However instead of being grateful you decided to backbite us by voting against us not to sell elephànt tusks, campaigning against building tarmac road via serengeti, maliciously flocking thousands of Kenyan cattles into Ngorongoro, continuing advertising Mt. Kilimanjaro belongs to Kenya , stealing Tanzania's Tanzanite and other menace against Tanzania . Our dear President Jembe aka Chuma aka Jiwe aka bulldozer aka Jemedari decided to return a favour ......no working permit for foreigner unless no tanzanian can fill the post in question. Now you have resoluted to desiperate measure prohibiting maize entry into Kenya . Nyangau wait and see we will reciprocate that .Thank you for indirectly admitting that kenyans are hardworkers and go getters
Kenya ni Mali ya wazungu hawakupata uhuru