Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
MY TAKE: Wakati dunia imekiri kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi sita duniani ambazo ni "Corona Free countries", jirani ambaye alitusema na Kutuombe kila lililobaya litufike watanzania, hadi kumuita Magufuli ni mkaida na Kinjekitile, sasa maji kwao yamewazidi kiwango, wanatapatapa hawajui la kufanya.
Majivuni yao yanawatokea puani.