Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Majivuni yao yanawatokea puani.
MY TAKE: Wakati dunia imekiri kwamba Tanzania ni miongoni mwa nchi sita duniani ambazo ni "Corona Free countries", jirani ambaye alitusema na Kutuombe kila lililobaya litufike watanzania, hadi kumuita Magufuli ni mkaida na Kinjekitile, sasa maji kwao yamewazidi kiwango, wanatapatapa hawajui la kufanya.
Siku hizi wanaogopa kuitaja Tanzania!Is one of dark countries?
This is tough.
Wakenya hawana kitu wanachoweza, Tribalism, Corruption, crime, Corona, hunger, terrorism, police brutality, vyote vimewashinda, hovyo sana hawa jamaa. Kuishi Kenya ni "Life threartening Decision", ninashangaa watanzania wanaoishi KenyaIna maana wakenya wameanza kudondoka kwa korona kiasi hii?