Kenya: Wanafunzi na walimu waambukizwa Corona, shule zafungwa, idadi ya maambukizi kwa siku ni zaidi ya 1000

Majivuni yao yanawatokea puani.
 
Waanzishe ile campaign yao ya ukaidi wa Magufuli na walipe bloggers kumtukana Magufuli huenda ikapunguza maambukizi
 
Ina maana wakenya wameanza kudondoka kwa korona kiasi hii?
Wakenya hawana kitu wanachoweza, Tribalism, Corruption, crime, Corona, hunger, terrorism, police brutality, vyote vimewashinda, hovyo sana hawa jamaa. Kuishi Kenya ni "Life threartening Decision", ninashangaa watanzania wanaoishi Kenya

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…