Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Wanahabari watatu wa Kenya walilazimika kukesha katika chumba cha habari kwa kuhofia kukamatwa na polisi waliokita kambi nje ya majengo ya shirika la habari la Nation.
Mawakili wa wanahabari hao wamewasilisha maombi mahakamani ya kutaka hakikisho la uhuru wa wanahabari hao.
Vituo vitatu vya televisheni vilifungiwa kuonesha matangazo yao na Serikali baada ya kukiuka agizo la Serikali la kutoonesha matangazo ya moja kwa moja ya hafla ya kujiapisha kwa kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa Rais wa wananchi.
Chanzo: DW kiswahili
Mawakili wa wanahabari hao wamewasilisha maombi mahakamani ya kutaka hakikisho la uhuru wa wanahabari hao.
Vituo vitatu vya televisheni vilifungiwa kuonesha matangazo yao na Serikali baada ya kukiuka agizo la Serikali la kutoonesha matangazo ya moja kwa moja ya hafla ya kujiapisha kwa kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa Rais wa wananchi.
Chanzo: DW kiswahili