Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Kwenye video ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii, trafiki mmoja nchini Kenya ameonekana kukamatwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kudaiwa kuwa alitaka kupokea rushwa.
Video isiyo na tarehe imewaonyesha raia wakimzingira trafiki huyo kwa madai ya kuvunja kioo cha matatu baada ya jaribio la rushwa kushindikana.
Trafiki huyo alidaiwa kuvunja kioo cha matatu hiyo baada ya dereva wa matatu hiyo kukataa kumpa rushwa.
Inaonekana Kenya raia wamechoka na suala la rushwa na kuamua kujichukulia sheria mkononi.
Soma Pia: TAKUKURU kamateni Trafiki Wala rushwa
Video isiyo na tarehe imewaonyesha raia wakimzingira trafiki huyo kwa madai ya kuvunja kioo cha matatu baada ya jaribio la rushwa kushindikana.
Trafiki huyo alidaiwa kuvunja kioo cha matatu hiyo baada ya dereva wa matatu hiyo kukataa kumpa rushwa.
Inaonekana Kenya raia wamechoka na suala la rushwa na kuamua kujichukulia sheria mkononi.
Soma Pia: TAKUKURU kamateni Trafiki Wala rushwa