Magix Enga
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 610
- 449
A wise man once said if u think Education is expensive try ignorance.Yaani this people are way too ignorance you just pity them.Ona vile wanabishana tuThe purpose ya kuenda shule sio kuajiriwa Bali unaweza tumia that knowledge kujipa ajira wewe mwenyewe...unaweza Rudi vijijini na kutumia hio elimu yako shambani!
yaani ulivyo na akili ndogo hujajua kwamba Kenya haipo kabisa kwenye kundi la nchi zinazofanya vizuri kwenye uchumi jumuishi, Tanzania inaongoza so far
Na nani aliekuambia kuhitimu degree ndio kuwa na tickets ya kuingia kwenye inclusive economy? Wansohitimu VETA wanaingia wapi pamoja na colleges?
Kuna uhusiano gani wa kimantiki kati ya kuhitimu degree na uchumi jumuishi?
View attachment 1549256
HahahahaInclusive in poverty.
Meaningless charts when 99% of the population is poor af.
Below $1 a day.
The new international poverty line is $1.90 a day. Of which 99% of Tanzanians fall below.
Hahahaha where's 1 $ per day there?Below $1 a day.
The new international poverty line is $1.90 a day. Of which 99% of Tanzanians fall below.
Maskini wa Tanzania, Kenya ni millionaireHiki ndio kitu huwa hawakielewi, very sad so many of them are so poor.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] unajitia kidole kisha unanusa unacheka.Below $1 a day.
The new international poverty line is $1.90 a day. Of which 99% of Tanzanians fall below.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] unajitia kidole kisha unanusa unacheka.
kwamba imepanda tokea lini??? tukitaka hivyo wakenya ni 99.99% wako na mchapo.
kachambe, unawe mikono, ukaushe.Kanye, uoge, ulale.
Hapo kwenye "kachambe" ni ngumu maana huwa hawachambi [emoji23][emoji23][emoji23]kachambe, unawe mikono, ukaushe.
kipindupindu inaishi hapo kenya.
Watasema mbona wazungu hawachambi [emoji38][emoji38]Hapo kwenye "kachambe" ni ngumu maana huwa hawachambi [emoji23][emoji23][emoji23]
The purpose ya kuenda shule sio kuajiriwa Bali unaweza tumia that knowledge kujipa ajira wewe mwenyewe...unaweza Rudi vijijini na kutumia hio elimu yako shambani!
Mafao ya wazee waliostaafu Magufuli amewalipa?Kwani ajira pekee inayoongelewa ni kuajiriwa pekee?
Mafao ya wazee waliostaafu Magufuli amewalipa?