Kenya wanatuzidi, Rwanda wanatuzidi

Kenya wanatuzidi, Rwanda wanatuzidi

The purpose ya kuenda shule sio kuajiriwa Bali unaweza tumia that knowledge kujipa ajira wewe mwenyewe...unaweza Rudi vijijini na kutumia hio elimu yako shambani!
A wise man once said if u think Education is expensive try ignorance.Yaani this people are way too ignorance you just pity them.Ona vile wanabishana tu
 
yaani ulivyo na akili ndogo hujajua kwamba Kenya haipo kabisa kwenye kundi la nchi zinazofanya vizuri kwenye uchumi jumuishi, Tanzania inaongoza so far

Na nani aliekuambia kuhitimu degree ndio kuwa na tickets ya kuingia kwenye inclusive economy? Wansohitimu VETA wanaingia wapi pamoja na colleges?

Kuna uhusiano gani wa kimantiki kati ya kuhitimu degree na uchumi jumuishi?

View attachment 1549256

Inclusive in poverty.
Meaningless charts when 99% of the population is poor af.
 
Inclusive in poverty.
Meaningless charts when 99% of the population is poor af.
Hahahaha
Screenshot_20200813-071858~2.png
Screenshot_20200602-055518~2.png
 
Below $1 a day.
The new international poverty line is $1.90 a day. Of which 99% of Tanzanians fall below.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] unajitia kidole kisha unanusa unacheka.

kwamba imepanda tokea lini??? tukitaka hivyo wakenya ni 99.99% wako na mchapo.
 
The purpose ya kuenda shule sio kuajiriwa Bali unaweza tumia that knowledge kujipa ajira wewe mwenyewe...unaweza Rudi vijijini na kutumia hio elimu yako shambani!

Kwani ajira pekee inayoongelewa ni kuajiriwa pekee?
 
Mafao ya wazee waliostaafu Magufuli amewalipa?

Ndiyo alilipwa. Nina ushahidi pia. Baba mkwe wangu alilipwa na mpaka alimpa kiasi fulani cha fedha mtoto wake, ambaye ni mke wangu.
 
Back
Top Bottom