Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Vijana hao wawili kutoka nchini kenya wameamua kuweka wazi mahusiano yao ya kimapenzi na kuvishana pete za uchumba...wakitarajia kuwa mke na mume hiv karibuni.

daaah dunia imeamua kuvaa bikini sasa
Yani huyo jamaa ambaye ndo anaolewa mpaka analia kwa kufurah kulikozidi jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…