Kenya: Wanawake waandamana wakidai kukosa wanaume wa kuwapa ujauzito

Kenya: Wanawake waandamana wakidai kukosa wanaume wa kuwapa ujauzito

Kwamoyo safi usio na kinyongo Mimi kama Mimi najitolea kuwa saidia.
 
Daaiiiiii Nalita tu........nakumbuka Rombo sijui wamejirekebisha.....
 
Daaiiiiii Napita tu........nakumbuka Rombo sijui wamejirekebisha.....
 
Wakenya kwa vituko namba moja. Juzi kati hawa wamama walikuwa wakiwapiga waume zao. Waume wakaona isiwe tabu ngoja tunywe ili tuchelewe kurudi. Sasa mnataka nini tena [emoji562]
 
Wanawake katika jimbo la Ndeiya nchini Kenya walifahamisha kuwa waume zao wanashindwa kuwapa ujauzito kutokana na mwenendo wa unywaji wa pombe haramu ambazo zinaathiri nguvu za kiume.

4235412825ken-559x520.jpg


Katika maandamano ya amani yaliofanyika katika kituo cha biashara cha Thigio, wanawake walioandamana Akhamisi walifahamisha kukerwa na wanaume wanaojihusisha na ulevi kupita kiasi.

Nancy Wangare alifahamisha kuwa katika kijiji hicho wanawake wachache walioolewa wamevumilia kwa kiasi kikubwa kutokana na upungufu wa nguvu za kiume kwa waume zao kutokana na pombe wanazokunywa.

Mmoja miongoni mwa wanawake walikuwa wakiandamana alifahamisha kuwa iwapo tabia hiyo ya ulevi haitorekebishwa basi itawalazimu kutoka nje ya ndoa zao na bila wao kujua lolote na kuwahudumia watoto wasiokuwa wao
Ama kwel ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Yaani mabinti wazuri wanatafuta wanaume na jinsi walivyo waaminifu wanaomba kuchepuka!
 
4235412825ken-559x520.jpg



Hii picha haikuwa ya taarifa hii, ilikuwa ya wanawake demostrating juu ya mavazi yao sio mambo na uja uzito, hii ni ile walikuwa wanaandamana wakisema "my dress my choice"
 
Ngoja nihamie Kenya nikakuze Mahusiano ya EAC.......
 
Back
Top Bottom