Wanatamani fursa kwa sababu ya maujinga yenu........Wakenya wengi wana njaa na ndio maana wote wanatamani kukimbilia Tanzania
Usikatae, tatizo ni Elimu yenu haina manufaa kwa Taifa, sasa hapo walishindwa nini kuwaambia watu wapange line kama kwenye chopper za Town? Munawaambia wasipange line ili muibe. You all thieves from Ruto to down the ground. Hence the ordinary Kenyans suffer because of your stupidity.Ikikuja swala la elimu hauwezi linganisha hizo nchi mbili. Ukweli usemwe!
Wanatamani fursa kwa sababu ya maujinga yenu........
We mbwa kwani nyie mmewekeza nn Kenya na wakenya wamewekeza nn kwenu?
Maccm mnajitoa sn ufahamu sijui mnalaana gani kazi yenu majungu
Kuchukia Kenya haitafanya tz iwe nchi bora kaka yangu. Umeniskia? Umetazama ile video ya watu kule SA wakipigania chakula? Endeleeni kujipiga vifua bure.Huyo mpumbavu alieiingiza Kenya kwenye kundi la middle income sijui alikua katumia nini? Ni Kenya ndio inaibisha hilo kundi na kusababisha waliopo watoke na wengine wasitake kuingia.
Kenya ni nchi ya hovyo sana, fikiria Rais wao katoa billion 20 za Kenya kuwalipa wakina verasidika wawaburudishe hawa mafukara wa mwisho kabisa ambao unga kwao ni anasa mpaka wapo tayari kukanyagana sababu ya kilo 1 ya unga
Ni jambo la kusikitisha pesa yote hiyo inaliwa na majangili kwa kigezo kwamba zilitolewa ili mburudishwe badala wangewagawia hao mafukara wenye uhitaji.
Namshukuru sana Mungu kunipangia nizaliwe Tanzania na maisha ninayoishi. Thank God! 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💘💗💓
Huwezi saidika chifu.Usikatae, tatizo ni Elimu yenu haina manufaa kwa Taifa, sasa hapo walishindwa nini kuwaambia watu wapange line kama kwenye chopper za Town? Munawaambia wasipange line ili muibe. You all thieves from Ruto to down the ground. Hence the ordinary Kenyans suffer because of your stupidity.
Huyo mpumbavu alieiingiza Kenya kwenye kundi la middle income sijui alikua katumia nini? Ni Kenya ndio inaibisha hilo kundi na kusababisha waliopo watoke na wengine wasitake kuingia.
Kenya ni nchi ya hovyo sana, fikiria Rais wao katoa billion 20 za Kenya kuwalipa wakina verasidika wawaburudishe hawa mafukara wa mwisho kabisa ambao unga kwao ni anasa mpaka wapo tayari kukanyagana sababu ya kilo 1 ya unga
Ni jambo la kusikitisha pesa yote hiyo inaliwa na majangili kwa kigezo kwamba zilitolewa ili mburudishwe badala wangewagawia hao mafukara wenye uhitaji.
Namshukuru sana Mungu kunipangia nizaliwe Tanzania na maisha ninayoishi. Thank God! 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💘💗💓
Elimu ipi?Ikikuja swala la elimu hauwezi linganisha hizo nchi mbili. Ukweli usemwe!
Kila kitu. Kenya imecontribute sana Africa na dunia nzima. Na hapo hauwezi bishana.Elimu ipi?
English?
Serikali kutoa pesa nyingi kuwagawia wakata mauno kwa kigezo cha kuwaburudisha msimu huu wa Corona ni uwehu uliotopeaKuchukia Kenya haitafanya tz iwe nchi bora kaka yangu. Umeniskia? Umetazama ile video ya watu kule SA wakipigania chakula? Endeleeni kujipiga vifua bure.
Am sure the govt has its own reasons. Usituonee huruma kaka kwa sababu tukuwa sawa. Fatilia mambo za kwenu wakati sisi tutafatilia za kwetu.Serikali kutoa pesa nyingi kuwagawia wakata mauno kwa kigezo cha kuwaburudisha msimu huu wa Corona ni uwehu uliotopea
Siichukii Kenya bali nawaonea huruma waliokufa kwa uzembe wa serikali yenu, you should be ashamed
Hawajui pia Marekani na Uingereza wenye English yao wanao mataahira na vichaa mitaani chungu mbovu wanaoongea English ya Oxford ambayo Mkenya hana hiyo accent mpaka aingie kaburini.Elimu ya Kenya ine irrelevant . Haiwapi Akili ya kufikiria minor things which need common sense.
Wakenya akishajua kuongea English basi anajua kashapata Elimu.
Matatizo yote yaanzia hapo.
Watu wanavyokanyagana hivyo hapo si ndio Corona inasambaa zaidi Kama itatokea mtu anayo?Acha uchuro kwa wakenya........wanachukua hatua stahiki zaidi ya nyie waimba mapambio ya ccm namba 1.....? kenge nyie
LOL kwa upumbavu?Kila kitu. Kenya imecontribute sana Africa na dunia nzima. Na hapo hauwezi bishana.
Ndio maana nimesema acha uchuro maana hapo sio Kenya mkuu......acha kuokoteza okotezaWatu wanavyokanyagana hivyo hapo si ndio Corona inasambaa zaidi Kama itatokea mtu anayo?
Haya vitendo hutokea kila mahali, police brutality hufanyika kila mahali duniani. Unanini chengine cha kusema?LOL kwa upumbavu?
Ninyi si ndio juzi mmeua watu zaidi ya 7 na wengine walemavu kwenye curfew?
Hiyo elimu iliwasaidiaje?
Ndio maana nimesema acha uchuro maana hapo sio Kenya mkuu......acha kuokoteza okoteza
Sasa South Africa inaingiaje hapa?, au thamani ya maisha ya mkenya ni ndogo sana ukilinganisha na maisha ya watu wa Africa kusini?.Kuchukia Kenya haitafanya tz iwe nchi bora kaka yangu. Umeniskia? Umetazama ile video ya watu kule SA wakipigania chakula? Endeleeni kujipiga vifua bure.
Inasikitisha