mzanzibara-
Senior Member
- Feb 3, 2014
- 179
- 59
Ni swala la priorities tu.....
Utafika wakati wa Tanzania kununua ndege. ..Tuwe wavumilivu.
Unategemea nini kama nchi inaongozwa na viongozi wezi, wanafiki, waongo?. Nchi ngumu sana hii..!!
Baada ya kuleta dreamliner Kenya yanunua ndege nyingine ya Boeing 777 - 300er je Tanzania tutaendelea kukodi hadi lini, aibu!!!! A country without a national carrier!