mzanzibara-
Senior Member
- Feb 3, 2014
- 179
- 59
Baada ya kuleta dreamliner Kenya yanunua ndege nyingine ya Boeing 777 - 300er je Tanzania tutaendelea kukodi hadi lini, aibu!!!! A country without a national carrier!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni swala la priorities tu.....
Utafika wakati wa Tanzania kununua ndege. ..Tuwe wavumilivu.
Unategemea nini kama nchi inaongozwa na viongozi wezi, wanafiki, waongo?. Nchi ngumu sana hii..!!
Baada ya kuleta dreamliner Kenya yanunua ndege nyingine ya Boeing 777 - 300er je Tanzania tutaendelea kukodi hadi lini, aibu!!!! A country without a national carrier!