Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Emmanuel Wanyonyi (20) ameshinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 800 kwenye Olimpiki za Paris Agosti 10, 2024. Inadaiwa ndio Mshindi mwenye umri mdogo zaidi kushinda katika mbio za mita 800 akiwa mwanariadha wa tatu mwenye kasi zaidi duniani.
Wanyonyi alikimbia kwa muda wa 1:41.19 na kutwaa ushindi huo. Na kufanikiwa kumshinda bingwa wa dunia Marco Arop kutoka Canada.
Ushindi wa Emmanuel umeifanya Kenya kushinda mashindano ya mita 800 mara tano mfulumizo Olympics
Arop took silver just one-hundredth of a second behind in a North American record
SOURCE: SUPER SPORTS
Wanyonyi alikimbia kwa muda wa 1:41.19 na kutwaa ushindi huo. Na kufanikiwa kumshinda bingwa wa dunia Marco Arop kutoka Canada.
Ushindi wa Emmanuel umeifanya Kenya kushinda mashindano ya mita 800 mara tano mfulumizo Olympics
===============For English Audience====================
Kenya's Emmanuel Wanyonyi held off world champion Marco Arop of Canada to win Olympic men's 800 metres gold in a lightning fast race on Saturday.
Wanyonyi clocked a personal best of 1min 41.19sec for victory, maintaining a proud record for Kenya who have now won the last five Olympic men's 800m titles.Kenya's Emmanuel Wanyonyi held off world champion Marco Arop of Canada to win Olympic men's 800 metres gold in a lightning fast race on Saturday.
Arop took silver just one-hundredth of a second behind in a North American record
SOURCE: SUPER SPORTS