kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,981
- 4,857
unataka kuniambia kwamba sisi tuwazembe kuliko kenyakwetu wakitoka njiani kila uchwao tutaokota vyuma chakavyu vya magari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka kuniambia kwamba sisi tuwazembe kuliko kenyakwetu wakitoka njiani kila uchwao tutaokota vyuma chakavyu vya magari
Jomba, matuta ni hatari sana yanaweza kuleta ajali ya kuua, kazi ya polisi ni kuweka usalama siyo kuuwa watu.Matuta yawekwe kwenye maeneo hatari, sio huo upumbavu wa jamaa kujificha maporini na litochi lake. Ifahamike kuna sehemu inaruhusiwa kwenda kwa kasi, lakini polisi hutumia maeneo kama hayo kujipatia mtaji.
Kazi ya polisi ni muhimu lakini labda kama unaishi sayari nyingine iwe hufahamu polisi Miafrika walivyo, asilimia kubwa kati yao hawafanyi kazi yao ipasavyo, wao wapo kimaslahi.Jomba, matuta ni hatari sana yanaweza kuleta ajali ya kuua, kazi ya polisi ni kuweka usalama siyo kuuwa watu.
Sio comedy budaboss, afisa aling'atwa kweli, akijificha vichakani! Ilikuwa ni mwaka jana na wakenya walivofurahia yaliyomsibu mitandaoni bila aibu ungedhani afisa mwenyewe alikuwa gaidi flani. https://nairobinews.nation.co.ke/news/ntsa-speaks-claims-officer-bitten-snake-speed-operationHivi komedi umeanza lini...nimecheka japokuwa inasikitisha.
We are talking about traffic police on state roads (the high ways), not urban areasName one state where cities don't supplement their quarters from traffic violations.
Mkuu, hapo ndipo Watanzania tumepumbazwa sana. Trafiki hapaswi kukusimamisha kama hujafanya kosa ili atafute kosa. Trafiki anapaswa kukusimamisha unapofanya kosa, na hapo ndipo anaweza kuangalia kama una makosa mengine. Suala la random checks kwenye high ways ni unyanyasaji na usumbufu kwa raia. Ndio maana kuna utaratibu wa gari kukaguliwa kila mwaka kuona kama linakidhi viwango vya kuwa barabarani. Watanzania tunapaswa kupinga unyanyasasi na usumbufu wa polisi kukusimamisha wakati hakuna kosa ulilofanya.Ngoja tuone...
Kusimamishwa kwa ajili ya ukaguzi siyo tatizo... tatizo ni pale unapocheleweshwa bila sababu zozote za msingi wakati huna tatizo wala kosa lolote...
Unakuta unasimamishwa vizuri, unakaguliwa vizuri, huna tatizo lolote badala akuruhusu anasepa kwenye gari lingine kukagua, ukiondoka huko mbele unasimamishwa na kuambiwa ulikimbia traffic...
Cc: mahondaw
Mkuu, hapo ndipo Watanzania tumepumbazwa sana. Trafiki hapaswi kukusimamisha kama hujafanya kosa ili atafute kosa. Trafiki anapaswa kukusimamisha unapofanya kosa, na hapo ndipo anaweza kuangalia kama una makosa mengine. Suala la random checks kwenye high ways ni unyanyasaji na usumbufu kwa raia. Ndio maana kuna utaratibu wa gari kukaguliwa kila mwaka kuona kama linakidhi viwango vya kuwa barabarani. Watanzania tunapaswa kupinga unyanyasasi na usumbufu wa polisi kukusimamisha wakati hakuna kosa ulilofanya.
Hivi unaweza kukubali polisi kuwa wanasimamisha raia randomly ili kujihakikishia kwamba wewe sio jambazi? Ni haki hiyo? Au wawe wanakagua nyumba randomly kuhakikisha huko ndani hakupikwi gongo?
Je na watu?bima watalipa, itakuwa pia vyanzo vya maligafi za kutengenezea nondo
Naomba picha zaidi mkuuNdio zao hizo, kuna afisa mmoja wa NTSA Kenya aling'atwa na nyoka kwenye makalio akiwa amejificha vichakani akivizia magari.![]()
Hahhaa yote hiyo ashakula dhuluma ya madereva !! Malipo ni hapa hapaSitakuangusha jombaa, ndio huyu hapa afisa aliyeng'atwa na nyoka kwenye makalio, na akafa. Ona handaki alilokuwa amejitengenezea, kama la nungunungu kabisaaa! [emoji1] R.I.P afisa Chuck Norris wa kiafrika. 🙂![]()
No, ila madereza huwa na haraka kuliko kawaida ambako kutatupelekea kuwahi kuwa mboleaunataka kuniambia kwamba sisi tuwazembe kuliko kenya
mkuu ukifa utalipwa ila uhai unaendana na unacholipwa? je ukipata ulemavu bima inaweza kukusaidia kuendesha maisha yako yakila uchwao?bima watalipa, itakuwa pia vyanzo vya maligafi za kutengenezea nondo
Highways in the US are patrolled by sheriffs and state troopers/highway patrol/state police. Sheriffs patrol within their jurisdiction which is the county, so they don't just have the authority within the city limits but they go beyond urban areas depending on the size of the county.We are talking about traffic police on state roads (the high ways), not urban areas
110km/hr!! unaendesha kama bibi yangu..... hapo tu sam nujoma napiga 120 deile! huko sasa si ntamaliza sahani.Kazi ya polisi ni muhimu lakini labda kama unaishi sayari nyingine iwe hufahamu polisi Miafrika walivyo, asilimia kubwa kati yao hawafanyi kazi yao ipasavyo, wao wapo kimaslahi.
Matuta kawaida huwekwa na alama zote za kuashiria yapo, dereva akiwa mtiifu kwa alama za barabarani, haiwezi kuwa tabu kwake.
Usalama barabarani huanza na dereva mwenyewe, na kama sio mtiifu basi maafa lazima yawepo hata ukiwaweka maelfu ya polisi barabarani.
Kuna barabara ambazo inaruhusiwa kusafiri kwa mwendo kasi, kwa mfano hapa Kenya kwenye super highway ya Thika, humo huwa tunaachia hata kwa 110km/h bila usumbufu wa polisi kwa maana pembeni kuna kinga na pia madaraja ya wanaovuka, hivyo unaachiwa libarabara lote ushindwe wewe tu.
110km/hr!! unaendesha kama bibi yangu..... hapo tu sam nujoma napiga 120 deile! huko sasa si ntamaliza sahani.