KENYA: Wasafiri wa Ndege wakwama Uwanja wa Jomo Kenyatta kufuatia mgomo wa Wafanyakazi

KENYA: Wasafiri wa Ndege wakwama Uwanja wa Jomo Kenyatta kufuatia mgomo wa Wafanyakazi

Inamaanisha vile south Africa wanavyo kua na several industrial strikes na Tz mambo ni taaratibu, so nyie mko sawa, na SA ni failed state?., your thinking is always pedestrian., Tanzania raia mumeshikwa makende., hamuwezi itisha haki yenyu, ni kupumbazwa na propaganda and wimbo wa uzalendo gushi., fake country. Better Kenya tuna anika kila kitu ili kishughulikiwe., watch keenly miaka ya mbele.,
Kenya ni failed state usiwatetee, Wewe ulishawahi kusikia nchi yoyote ile duniani ambayo sector ya Afya haukufanyakazi kwa zaidi ya siku 100 na bado serikali haitoi ufumbuzi na hakuna anayewajibika?.

Mwezi uliopita serikali ya Tanzania ilipitisha matumizi ya kikokotoo kipya, wafanyakazi wakakikataa na kukipinga kwa njia za kistaarabu na mwisho wakafanikiwa, au Wewe lazima watu wagome kwenda kazini na kuandamana mabarabarani na kuuliwa na polisi kama huko Kenya Ndio uone wamepinga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio demokrasia inapokuwa ngumu kwa nchi za Africa,hebu fikiria wewe ndio upo pale Magogoni,Ikulu,
Airport wamegoma,huku madakitari na manesi wanagoma,hujakaa vzr,daladala zinagoma!
Unaweza kupasuka kichwa!
Hapo ni kuwatwanga tu,ambaye hataki kazi,piga chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That is past news, hali ni tulivu na abiria wameanza kusafiri, mitanzania mnatisha kweli kwa umbea., be up to date.,

Sent using Jamii Forums mobile app
ishu ni kwamba imetokea kweli... na abiria wamepigwa kweli... hilo doa haliwezi kufutika leo wala kesho

haijalishi kuwa abiria walikula bakora saa tano asubuhi au saa nane mchache

kinachomata ni kuwa abiria walikula bakora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe upo nchi gani, au unatumia kigezo gani kupandisha hoja yako juu ya hoja, usijione wewe ni bora sana, majadiliano huwa hayakashifu upande wa pili bali uonyesha pale penye mapungufu, eti uniniheshimu ndiyo maana unanijibu hebu acha ujuha baki na heshima yako, unajidharau mwenyewe, unongela fao la kujitoa hivi wewe ni mwajiriwa kweli, kuna sakata linalowatesa wafanyakazi kama hili fao jinga kabisa wewe tena uwe unajifunza kukaakimya kwa vitu usivyovijua unatia aibu ungechagua kukaa kimya ingekunyima nini, unalazimisha mitazmo yako iwe yangu yani kweli wewe bongo lala
Fao la kujitoa lilikua Katika mchakato wa kutungiwa sheria iweze kufumika rasmi, Bado haijaanza kutumika,kama ambavyo kikokotoo hakijaanza kutumika na vyote Magufuli amevifuta wasiendelee na huo mchakato.

Ngoja nikuulize Swali dogo, ukiambiwa utalipwa Milioni 200 ukifikisha miaka 55 utakapostaafu, au utalipwa wakati wowote unaopenda utakapoacha kazi lakini formular inayotumika utapata 30% ya 200M bora ni ipi?.

Magufuli alitengua yote mawili siku hiyohiyo, lakini wafanyakazi waliandamana na kumpongeza kwa kutengua kikokotoo na sio fao la kujitoa, hii inaonyesha ni kiasi gani kikokotoo kwa ni muhumi zaidi kuliko fao la kujitoa kama unavyolichukulia Wewe.

Wewe hujawahi kuajiriwa huna unalojua, Wewe ni mtu wa kijiweni na ni mvuta banghi, unasikiliza Maneno ya vijiweni tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So you think. Kuhamisha goli., so how will it benefit you fisi mentality Tanzanian?., mnangoja mkono uanguke ili you guys "eat"., if you understand literature.
ishu ni kwamba imetokea kweli... na abiria wamepigwa kweli... hilo doa haliwezi kufutika leo wala kesho

haijalishi kuwa abiria walikula bakora saa tano asubuhi au saa nane mchache

kinachomata ni kuwa abiria walikula bakora

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So you think. Kuhamisha goli., so how will it benefit you fisi mentality Tanzanian?., mnangoja mkono uanguke ili you guys "eat"., if you understand literature.

Sent using Jamii Forums mobile app
subiri mwezi may (JNIA terminal 3) ikifunguliwa ndio utajua madhara ya tukio lililotokea leo JKA

kwasasa endelea kuniita fisi

alafu kumbuka it take a fisi to recognize a fisi

alafu mimi ni fisi dume sijui ww mwenzangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaanisha vile south Africa wanavyo kua na several industrial strikes na Tz mambo ni taaratibu, so nyie mko sawa, na SA ni failed state?., your thinking is always pedestrian., Tanzania raia mumeshikwa makende., hamuwezi itisha haki yenyu, ni kupumbazwa na propaganda and wimbo wa uzalendo gushi., fake country. Better Kenya tuna anika kila kitu ili kishughulikiwe., watch keenly miaka ya mbele.,

Sent using Jamii Forums mobile app

Teh teh teh tihiii
Kwa vile Norway na England hakuna strikes me Kenya are many, then Kenya is more Domokratic than England.
 
subiri mwezi may (JNIA terminal 3) ikifunguliwa ndio utajua madhara ya tukio lililotokea leo JKA

kwasasa endelea kuniita fisi

alafu kumbuka it take a fisi to recognize a fisi

alafu mimi ni fisi dume sijui ww mwenzangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mfungue kumi kama izo mara Moja,bila air traffic ya maana kama jkia or bole...ni ZERO work.
 
Wanajeshi wa Kenya Airforce wameitwa kufanya ukaguzi na airport handling na kusaidia air traffic control, Usafiri umeanza kuregea




D09n9uSXgAAPw90.jpg


D09n-haWoAE_BOG.jpg
 
Inamaanisha vile south Africa wanavyo kua na several industrial strikes na Tz mambo ni taaratibu, so nyie mko sawa, na SA ni failed state?., your thinking is always pedestrian., Tanzania raia mumeshikwa makende., hamuwezi itisha haki yenyu, ni kupumbazwa na propaganda and wimbo wa uzalendo gushi., fake country. Better Kenya tuna anika kila kitu ili kishughulikiwe., watch keenly miaka ya mbele.,

Sent using Jamii Forums mobile app
Hauelewi wewe..The strike is illegal, the court issued orders to that effect! Now which country has workers who disobey court orders? FAILED STATE
 
Si ndiyo hapo mkuu, miswada mingapi ya kisheria inapitishwa bungeni ni ndiyooooo ndiyooooo ndiyooooo yani mijitu toka ccm ni bogus kabisa ni bendera fuata upepo, kuna kijamaa kingine kipo hapa kinajifanya kina heshima sana humu jf ni pumba juu ya pumba hichi kijamaa Jimmie Gatsby
CCM inakupeleka race sana eeh?
 
Hauelewi wewe..The strike is illegal, the court issued orders to that effect! Now which country has workers who disobey court orders? FAILED STATE
That strike is very justified , with the economic thugs in our country, we cannot just accept that a profit making fully public entity is taken over by a private/public entity under un-clear circumstances where some things are not clear.. WE SAY NO, hatutaibiwa mchana.
 
Back
Top Bottom