Kenya: Watalii 40 wakamatwa kwa kuombaomba mitaani

Kenya: Watalii 40 wakamatwa kwa kuombaomba mitaani

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
1662363248324.png

Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita Maxwell Agoro akizungumza na mmoja wa raia 40 wa Jordan waliokamatwa. Picha: Kwa hisani

Polisi wa Mombasa Nchini Kenya wanawashikilia watalii 40 raia wa Jordan baada ya kukutwa wakiombaomba katika Mitaa ya Old Town na Marikiti ili wakusanye fedha ya kwenda Nairobi.

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Mvita, Maxwell Agoro amesema waliwakamata baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wenyeji, ambapo waliokamatwa watu wazima ni 19 na watoto ni 21.

Watalii hao walikuwa na ‘visa’ halali lakini kuombaomba ni kukiuka masharti ya hati zao za kusafiria.

---
Polisi mjini Mombasa wamewashikilia watalii 40 kutoka Jordan baada ya kuonekana wakiomba katika barabara za jiji hilo. Watalii hao waliripotiwa kuonekana wakiomba katika mitaa ya Old Town na Marikiti Market siku ya Alhamisi ili kuchangisha pesa za safari yao ya Nairobi.

Bw Maxwell Agoro, Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita, alithibitisha kukamatwa kwa polisi hao, akisema polisi walikwenda kuwakamata watalii hao baada ya kupokea kidokezo kutoka kwa wenyeji. Wageni hao, watu wazima 19 na watoto 21, walikuwa na viza halali za kitalii, lakini kuombaomba kulikiuka masharti ya hati zao za kusafiria, na kupelekea kukamatwa kwao, alisema Agoro.

“Baada ya kuwapata polisi waliwapeleka kituo kikuu cha polisi kwa mahojiano. Walipatikana wakienda kinyume na utaratibu wa visa kwa kujigeuza ombaomba kinyume na kuwa watalii,” akasema akiongea na Nation. Bw. Agoro aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali ulifichua kuwa watu hao 40 walikuwa wakielekea Eastleigh jijini Nairobi na ilibidi waombe kupata pesa za safari yao.

Wageni hao watapelekwa ofisi ya uhamiaji kwaajili ya taratibu nyingine kufuata, wakati huu wanashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Pwani ambapo wanaendelea kuhojiwa.
 
photo_2022-09-05_10-20-21.jpg

Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita Maxwell Agoro akizungumza na mmoja wa raia 40 wa Jordan waliokamatwa. Picha: Kwa hisani

Polisi mjini Mombasa wamewashikilia watalii 40 kutoka Jordan baada ya kuonekana wakiomba katika barabara za jiji hilo. Watalii hao waliripotiwa kuonekana wakiomba katika mitaa ya Old Town na Marikiti Market siku ya Alhamisi ili kuchangisha pesa za safari yao ya Nairobi.

Bw Maxwell Agoro, Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita, alithibitisha kukamatwa kwa polisi hao, akisema polisi walikwenda kuwakamata watalii hao baada ya kupokea kidokezo kutoka kwa wenyeji. Wageni hao, watu wazima 19 na watoto 21, walikuwa na viza halali za kitalii, lakini kuombaomba kulikiuka masharti ya hati zao za kusafiria, na kupelekea kukamatwa kwao, alisema Agoro.

“Baada ya kuwapata polisi waliwapeleka kituo kikuu cha polisi kwa mahojiano. Walipatikana wakienda kinyume na utaratibu wa visa kwa kujigeuza ombaomba kinyume na kuwa watalii,” akasema akiongea na Nation. Bw. Agoro aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali ulifichua kuwa watu hao 40 walikuwa wakielekea Eastleigh jijini Nairobi na ilibidi waombe kupata pesa za safari yao.

Wageni hao watapelekwa ofisi ya uhamiaji kwaajili ya taratibu nyingine kufuata, wakati huu wanashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Pwani ambapo wanaendelea kuhojiwa.

Chanzo: Citizen Digital
 
Hapa kuna namna unaweza kuta fake tour company hapo Kunyaland!
 
View attachment 2346219
Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita Maxwell Agoro akizungumza na mmoja wa raia 40 wa Jordan waliokamatwa. Picha: Kwa hisani

Polisi wa Mombasa Nchini Kenya wanawashikilia watalii 40 raia wa Jordan baada ya kukutwa wakiombaomba katika Mitaa ya Old Town na Marikiti ili wakusanye fedha ya kwenda Nairobi.

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Mvita, Maxwell Agoro amesema waliwakamata baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wenyeji, ambapo waliokamatwa watu wazima ni 19 na watoto ni 21.

Watalii hao walikuwa na ‘visa’ halali lakini kuombaomba ni kukiuka masharti ya hati zao za kusafiria.

---
Polisi mjini Mombasa wamewashikilia watalii 40 kutoka Jordan baada ya kuonekana wakiomba katika barabara za jiji hilo. Watalii hao waliripotiwa kuonekana wakiomba katika mitaa ya Old Town na Marikiti Market siku ya Alhamisi ili kuchangisha pesa za safari yao ya Nairobi.

Bw Maxwell Agoro, Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita, alithibitisha kukamatwa kwa polisi hao, akisema polisi walikwenda kuwakamata watalii hao baada ya kupokea kidokezo kutoka kwa wenyeji. Wageni hao, watu wazima 19 na watoto 21, walikuwa na viza halali za kitalii, lakini kuombaomba kulikiuka masharti ya hati zao za kusafiria, na kupelekea kukamatwa kwao, alisema Agoro.

“Baada ya kuwapata polisi waliwapeleka kituo kikuu cha polisi kwa mahojiano. Walipatikana wakienda kinyume na utaratibu wa visa kwa kujigeuza ombaomba kinyume na kuwa watalii,” akasema akiongea na Nation. Bw. Agoro aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali ulifichua kuwa watu hao 40 walikuwa wakielekea Eastleigh jijini Nairobi na ilibidi waombe kupata pesa za safari yao.

Wageni hao watapelekwa ofisi ya uhamiaji kwaajili ya taratibu nyingine kufuata, wakati huu wanashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Pwani ambapo wanaendelea kuhojiwa.
Haya ni madhara ya MASS TOURISM, kuamini kwamba idadi kubwa ya wageni itakupa tija ndio madhara yake, why dont you focused on small numbers charge them highly, you will end up protecting your environment, culture of your people and save the little tourism resources for future generation
 
View attachment 2346219
Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita Maxwell Agoro akizungumza na mmoja wa raia 40 wa Jordan waliokamatwa. Picha: Kwa hisani

Polisi wa Mombasa Nchini Kenya wanawashikilia watalii 40 raia wa Jordan baada ya kukutwa wakiombaomba katika Mitaa ya Old Town na Marikiti ili wakusanye fedha ya kwenda Nairobi.

Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Mvita, Maxwell Agoro amesema waliwakamata baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wenyeji, ambapo waliokamatwa watu wazima ni 19 na watoto ni 21.

Watalii hao walikuwa na ‘visa’ halali lakini kuombaomba ni kukiuka masharti ya hati zao za kusafiria.

---
Polisi mjini Mombasa wamewashikilia watalii 40 kutoka Jordan baada ya kuonekana wakiomba katika barabara za jiji hilo. Watalii hao waliripotiwa kuonekana wakiomba katika mitaa ya Old Town na Marikiti Market siku ya Alhamisi ili kuchangisha pesa za safari yao ya Nairobi.

Bw Maxwell Agoro, Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Mvita, alithibitisha kukamatwa kwa polisi hao, akisema polisi walikwenda kuwakamata watalii hao baada ya kupokea kidokezo kutoka kwa wenyeji. Wageni hao, watu wazima 19 na watoto 21, walikuwa na viza halali za kitalii, lakini kuombaomba kulikiuka masharti ya hati zao za kusafiria, na kupelekea kukamatwa kwao, alisema Agoro.

“Baada ya kuwapata polisi waliwapeleka kituo kikuu cha polisi kwa mahojiano. Walipatikana wakienda kinyume na utaratibu wa visa kwa kujigeuza ombaomba kinyume na kuwa watalii,” akasema akiongea na Nation. Bw. Agoro aliendelea kusema kuwa uchunguzi wa awali ulifichua kuwa watu hao 40 walikuwa wakielekea Eastleigh jijini Nairobi na ilibidi waombe kupata pesa za safari yao.

Wageni hao watapelekwa ofisi ya uhamiaji kwaajili ya taratibu nyingine kufuata, wakati huu wanashikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Pwani ambapo wanaendelea kuhojiwa.
kahtaan THE BIG SHOW FaizaFoxy STRUGGLE MAN Bwana Utam Ritz Mlolongo njiwa adriz saidieni jamaa zenu huko. Jichangeni muwape hifadh Hawa ndugu zenu katika imani.

Ila nimeumia Sana kuona picha za hao watoto na akina mama. Siyo jukumu tu la kina Ritz Bali kwa Kila mtu anayejali. Matumaini yangu watapata msaada. Kweli nawaombea Mungu awatangulie na awape wepesi. Hao madogo na wanawake imeniuma sana
jordanians-pix-2.jpg
 
kahtaan THE BIG SHOW FaizaFoxy STRUGGLE MAN Bwana Utam Ritz Mlolongo njiwa adriz saidieni jamaa zenu huko. Jichangeni muwape hifadh Hawa ndugu zenu katika imani.

Ila nimeumia Sana kuona picha za hao watoto na akina mama. Siyo jukumu tu la kina Ritz Bali kwa Kila mtu anayejali. Matumaini yangu watapata msaada. Kweli nawaombea Mungu awatangulie na awape wepesi. Hao madogo na wanawake imeniuma sanaView attachment 2346313
Wapo Kenya.

Hao wala ilikua wasiombe-onbe walipopatwa shida, ilikuwa waende Masjid tu.

Kama walifanya hivyo na wakaendelea kuombaomba basi hao ni kisa kingine.

Kila binaadam ni jamaa yetu, wala usiwe na hofu.
 
kahtaan THE BIG SHOW FaizaFoxy STRUGGLE MAN Bwana Utam Ritz Mlolongo njiwa adriz saidieni jamaa zenu huko. Jichangeni muwape hifadh Hawa ndugu zenu katika imani.

Ila nimeumia Sana kuona picha za hao watoto na akina mama. Siyo jukumu tu la kina Ritz Bali kwa Kila mtu anayejali. Matumaini yangu watapata msaada. Kweli nawaombea Mungu awatangulie na awape wepesi. Hao madogo na wanawake imeniuma sanaView attachment 2346313
Jordan sio nchi ya kiislam,ina mchanganyiko wakristo na waislam,wangekuwa ni waislamu,wangekwenda msikitini kupata msaada,kama waliibiwa.8% Jordan ni wakristo,na wapo wa dini nyingine,na wasio na dini.
 
Jordan sio nchi ya kiislam,ina mchanganyiko wakristo na waislam,wangekuwa ni waislamu,wangekwenda msikitini kupata msaada,kama waliibiwa.8% Jordan ni wakristo,na wapo wa dini nyingine,na wasio na dini.
Kwa iyo Waislamu ni wabaguzi
 
Hao nao wamepotea maboya Sana, yaani unaenda kuwa ombaomba Kenya,watakwambia hata Watanzania huwa wanaenda Kenya
Hiyo ni ukweli. Huko kenya kuna watanzania wengi sana wenye Ni ombaomba wa mitaani. Wakenya ni watu wako na roho ya umtu
 
Back
Top Bottom