Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,388
- 7,223
Muendelezo wakutaja positive cases kila siku saa tisa alasiri bila kutoa solutions kumeonekana kuwakera Sana Wakenya kiasi kwamba kuomba huo utaratibu usitishwe Kama Tanzania ilivyofanya.
Nimeambatanisha screen shorts na video ambayo ukiangalia comments zake asilimia zaidi ya 90 wanataka Serikali ya Kenya iachane na hiyo nonesense.
Nimeambatanisha screen shorts na video ambayo ukiangalia comments zake asilimia zaidi ya 90 wanataka Serikali ya Kenya iachane na hiyo nonesense.