Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki


Majiran mko na shida nyingi sana, Kwan ulisha sign ile petition ya ku cancel mkopo wa ma billions ? Halafu mbona mnapenda sana vya bure mbwa nyie, mmekua omba omba sana had mnatia aibu duniani mxieew , mnaomba mikopo hadi ya sumu mbuzi nyie ndo mfe vzur mxieww
 
Chanjo yenu mliyoitengeneza iko wapi ?
 

Mkuu tunarudi tena nyuma ,hakuna dawa ambayo haina side effects kwa baadhi ya watu ,kuna allergy ya baadhi ya contects za dawa kumuathiri mtumiaji,so studies zinazidi kuendelea so in the future watakuja kujua why damu inaganda kwa watumiaji wa Astrazeneca!
 
maono yake ndio yaliyomponza. endelea kufuata maono yake tuone yatakufikisha wapi.
Na tumekuwa tukiyafuata almost a year and half sasa, na tuko good na free from covid stresses.. Nyie wenye lockdown na vaccine mbona bado mnakufa na kujaza hospitals,madeni mnaongeza lukuki... Hamjashtuka kama nyie ni wapumbavu!
 
Taja dawa au chanjo yoyote isiyo na side effects hapa, au taja dawa yoyote ile utafutuwe side effects zake na vifo ilivyosababisha. Corona imeua watu zaidi ya 500,000 Marekani. Unataka wasitoe chanjo kisa watu chini ya 100 watakufa kwa side effects?

Hakuna chanjo haina madhara. Wanachotazama ni kulinganisha madhara yake na faida zake. Chanjo zije wanaostahili wazipate.
 
Haya nitajie side effects za Astrazeneca?
 
Ulaji huo tayari kwa Astrazeneca, mabeberu ni hatari kwelikweli yametengeneza Virusi ili baadaye yapige pesa.🤣
Halafu hizo ks 36 billions ni chini ya mpango wa covax ambao mabeberu wanadai ni bure!! Mabeberu noma!
Tanzania hawapati hata senti 1!
 

300 wanafikiriwa kuathirika baina ya 370,000 hii chini ya 0.08%.

Wajameni, pamoja na kuwa haupo ushahidi wa kuwa ni madhara ya moja kwa moja ni wazi kuwa pana ka unyanyapaa ka aina yake kuihusu hii chanjo.

Hiiiiii!
 
Ulaji huo tayari kwa Astrazeneca, mabeberu ni hatari kwelikweli yametengeneza Virusi ili baadaye yapige pesa.🤣

Kuna tofauti ya "to deliver" na "to buy" ila kwa ile mijamaa ya Lumumba tu.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
300 wanafikiriwa kuathirika baina ya 370,000 hii chini ya 0.08%.

Wajameni, pamoja na kuwa haupo ushahidi wa kuwa ni madhara ya moja kwa moja ni wazi kuwa pana ka unyanyapaa ka aina yake kuihusu hii chanjo.

Hiiiiii!
AstraZeneca imethibitika kwa asilimia 99.9% inasababisha Blood clot, hii ni kwa baadhi ya watu ambao miili yao nitofauti na watu wengi, na bado sababu kwa nini mwili unareact hivyo astrazeneca haijafahamika...

Je watu wanaochomwa miaka 2 ijayo hawatapata athari?

Kawaida Chanjo huchukua angalau miaka 2 kutumika na bindamu
 
Tupate chanjo za Pzifer au Moderna. AstraZeneca imekuwa na habari zisizo nzuri karibu nchi zote.
Chanjo bora ni Sputnik V ,nchi za ulaya magharibi hawazitaki kwa hasira zao kwa vladimir Putin.
Ila majaribiio yakifanikiwa mtufahamishe sisi jirani wenu wa kusini tuagize toka kwa mabeberu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…