KENYA: Watu 30 wamefariki baada ya Basi kugongana na Lori

Hatimaye Kenya imepiga marufuku magari ya abiria kusafiri usiku. Tegemea Wamiliki wa matatu kufungua kesi mahakamani kupinga marufuku. Swali- Je marufuku ya magari ya abiria kusafiri usiku imepunguza ajali za barabarani Tanzania?
 
Hatimaye Kenya imepiga marufuku magari ya abiria kusafiri usiku. Tegemea Wamiliki wa matatu kufungua kesi mahakamani kupinga marufuku. Swali- Je marufuku ya magari ya abiria kusafiri usiku imepunguza ajali za barabarani Tanzania?
Imesaidia sana, lakini muhimu zaidi ni kuwadhibiti madereva barabarani kwa kuweka askari na road blocks nyingi, hili linawezekana tu nyakati za mchana
 
Poleni jirani zetu
Mwenyezi MUNGU awalaze mahali pema peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…