Kenya watu wameanza kuanguka mitaani kwa kugombea chakula

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
Baada ya Kenya kuendelea na msimamo Wake wa kufungia wananch Hali imezid kua mbaya baada ya watu kuanza kuanguka na kupoteza faham wakat wa kugombea chakula

Pia katika mgao huo Kuna baadh wamelalamika kukosa chakula na kuanza kutupa lawama kwa serekal
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20200519-130914.jpeg
    19.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200519-130907.jpeg
    13.6 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…