Kenya watu wameanza kuanguka mitaani kwa kugombea chakula

Kenya watu wameanza kuanguka mitaani kwa kugombea chakula

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
Baada ya Kenya kuendelea na msimamo Wake wa kufungia wananch Hali imezid kua mbaya baada ya watu kuanza kuanguka na kupoteza faham wakat wa kugombea chakula

Pia katika mgao huo Kuna baadh wamelalamika kukosa chakula na kuanza kutupa lawama kwa serekal


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20200519-130914.jpeg
    Screenshot_20200519-130914.jpeg
    19.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20200519-130907.jpeg
    Screenshot_20200519-130907.jpeg
    13.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom