Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Watu watatu wauawa na wengine watano wajeruhiwa katika shambulio lilitokea februari 19, 2020 la watu wanaodhaniwa kuwa ni al shababi katika kaunti ya Mandera
Basi hilo linalomilikiwa na kampuni ya Moyale Raha lilikuwa linatoka Mandera likielekea Nairobi. Dereva wa basi hilo ni mmoja kati ya watu waliojeruhiwa.
al Shabaab wamezidisha mashambulizi yao dhidi ya kenya tangu mwaka mpya
Januari waliwauwa wamerekani watatu katika kambi ya jeshi ya Manda huko Lamu
Mwezi huo huo pia, wanafunzi wane waliowawa katika mapigano ya risasi kati ya polisi na wanamgambo wa al shababi
Januari 13 pia waliwapiga risasi walimu watatu wa shule yam sing Kamuthe, iliyopo Garissa
Mwanzoni mwa mwezi huu magari mawili ya kutengeneza barabara yalichomwa moto, alshababi walituhumiwa kwa tukio hilo
Chanzo: Citizen tv
Basi hilo linalomilikiwa na kampuni ya Moyale Raha lilikuwa linatoka Mandera likielekea Nairobi. Dereva wa basi hilo ni mmoja kati ya watu waliojeruhiwa.
al Shabaab wamezidisha mashambulizi yao dhidi ya kenya tangu mwaka mpya
Januari waliwauwa wamerekani watatu katika kambi ya jeshi ya Manda huko Lamu
Mwezi huo huo pia, wanafunzi wane waliowawa katika mapigano ya risasi kati ya polisi na wanamgambo wa al shababi
Januari 13 pia waliwapiga risasi walimu watatu wa shule yam sing Kamuthe, iliyopo Garissa
Mwanzoni mwa mwezi huu magari mawili ya kutengeneza barabara yalichomwa moto, alshababi walituhumiwa kwa tukio hilo
Chanzo: Citizen tv