Pesa inatokea Kongo.Kweli kabisa Kagame anawacha alama Africa. Rwanda kanchi kadogo sana na hakana madini wala mafuta lakini wanajenga infrastructure kubwa kubwa hadi mtu anajiuliza pesa inatoka wapi. Huo ndio uongozi bora
sisi uwanja wa taifa tunaujaza kwenye tournament zote, local and international tournaments.Hio sio kweli. Hua tunajaza Kasarani stadium hadi pomoni, watu 60,000.
sisi uwanja wa taifa tunaujaza kwenye tournament zote, local and international tournaments.
niambie lini kasarani stadium iliwahi kujaa zilipocheza local football team za kenya?
na usituletee habari za kujaa kunapokuwa na international tournament maana tunawajua wakenya mnaabudu sana vya wazungu kuliko vya kwenu.
Pesa inatokea Kongo.
What uchungu! Tunaelezana facts!Hahaha ningependa kujua chanzo cha uchungu ulio moyoni mwako kuhusu Kenya. Kenya ilikufanyia nini kibaya?
Kwa hiyo mkenya wewe ni joblessWakenya wengi hawajawahi sikia jina "jamii forums" maishani mwao. Wako mbioni wakichapa kazi
Juzi hukuona Yanga Vs Kariobangi na Simba Vs Power dynamos uwanja ulivyo jaa! Au angalia week end hii Simba Vs Ud Songo. Tatizo AFC haiko vizuri kama zamani na Gor ilipotea kwa kipindi kirefu kwa hiyo kuna kizazi hakija ambukizwa ushabiki wa hizo timu zenu mbili zenye ushindani wa jadi. Kuna kipindi Gor na AFC zilikua kama hazipo kwenye ramani ya soka Kenya, ilikua ni Tusker, Mathare utd, Sofapaka, Oserian e.t.c.Sio kweli mnajaza uwanja kwenye michuano yote, huwa mnafanya wakati kuna mtani jembe, mechi ya Simba vs Yanga.
Kenya pia hujaza ikitokea Gor vs AFC.
Hahaha. Mimi si jobless. Niligundua Jamii forums mwaka wa 2014 nilipokuwa namalizia university. Nilikuwa nashinda online ndio nikakutana na jamii forums. Nilikuwa nasoma akina Annael, Geza ulole, Mk254 na wengine bila kufungua account. Niliamua kujoin 2017. Kabla ya hapo nilikuwa twitter na facebook, Wakenya wengi wako huko, nenda huko utawapata. Nilipata scholarship yangu pia nikichokora internet, mimi utanipata online kila wakati inapowezekana.Kwa hiyo mkenya wewe ni jobless
Report iliyotoka majuzi inaonesha Rw inaongoza kwa kutumia vizuri pesa za ndani barani Africa ikifuatiwa na Tz. Ila Kagame amefanikiwa sana kuwavutia wawekezaji. Kwa udogo wake Rwanda imekua ina attract FDI kubwa kuliko Kenya kwa miaka takribani zaidi ya mitatu iliyopita. Swali la kujiuliza Rwanda inawezaje kufanya PPP kwenye infustructure projects kubwa wakati kaka zake wanashindwa? Je sheria yao ikoje? Angalia jinsi Nai-Msa express way inavyo pigwa kalenda kwa majadiliano yasiyo kwisha. Mwanzo ilibidi iwe PPP sasa nasikia ni mkopo! Huku Tz sheria ya PPP ili badilishwa majuzi (imekua ya kizalendo zaidi) ila bado haijaleta matunda. Kuna shule Kagame anatupa.Kweli kabisa Kagame anawacha alama Africa. Rwanda kanchi kadogo sana na hakana madini wala mafuta lakini wanajenga infrastructure kubwa kubwa hadi mtu anajiuliza pesa inatoka wapi. Huo ndio uongozi bora
Pole sana jobless manWakenya wengi hawajawahi sikia jina "jamii forums" maishani mwao. Wako mbioni wakichapa kazi
Ila sisi Kenya na Tanzania tuna kiburi. Hatuwezi enda kumpigia Kagame magoti ili atujuze siri iko wapi. Sisi tutampuuzilia mbali tu kama wazimu aliye na kichaa maana hatutaki kuonekana wanyonge mbele ya kanchi kadogo size ya Nairobi.Report iliyotoka majuzi inaonesha Rw inaongoza kwa kutumia vizuri pesa za ndani barani Africa ikifuatiwa na Tz. Ila Kagame amefanikiwa sana kuwavutia wawekezaji. Kwa udogo wake Rwanda imekua ina attract FDI kubwa kuliko Kenya kwa miaka takribani zaidi ya mitatu iliyopita. Swali la kujiuliza Rwanda inawezaje kufanya PPP kwenye infustructure projects kubwa wakati kaka zake wanashindwa? Je sheria yao ikoje? Angalia jinsi Nai-Msa express way inavyo pigwa kalenda kwa majadiliano yasiyo kwisha. Mwanzo ilibidi iwe PPP sasa nasikia ni mkopo! Huku Tz sheria ya PPP ili badilishwa majuzi (imekua ya kizalendo zaidi) ila bado haijaleta matunda. Kuna shule Kagame anatupa.
simba day na siku ya wananchi pia uwanja wa taifa huwa unajaa sana.Sio kweli mnajaza uwanja kwenye michuano yote, huwa mnafanya wakati kuna mtani jembe, mechi ya Simba vs Yanga.
Kenya pia hujaza ikitokea Gor vs AFC.
Stop dreaming big! Anza hapa!
Aisee kumbe MTO rufiji ni mchafu hivi, si umeme utakuwa na moshi balaa?Stop dreaming big! Anza hapa!