Report iliyotoka majuzi inaonesha Rw inaongoza kwa kutumia vizuri pesa za ndani barani Africa ikifuatiwa na Tz. Ila Kagame amefanikiwa sana kuwavutia wawekezaji. Kwa udogo wake Rwanda imekua ina attract FDI kubwa kuliko Kenya kwa miaka takribani zaidi ya mitatu iliyopita. Swali la kujiuliza Rwanda inawezaje kufanya PPP kwenye infustructure projects kubwa wakati kaka zake wanashindwa? Je sheria yao ikoje? Angalia jinsi Nai-Msa express way inavyo pigwa kalenda kwa majadiliano yasiyo kwisha. Mwanzo ilibidi iwe PPP sasa nasikia ni mkopo! Huku Tz sheria ya PPP ili badilishwa majuzi (imekua ya kizalendo zaidi) ila bado haijaleta matunda. Kuna shule Kagame anatupa.