Kenya won't lose Agoa status, but its EAC partners may be thrown out

Pale ni ju ya cost si coz tshirt haziezi kuwa printed huku....akili iko empty
He hee, akili empt ni nyinyi bhana. Sikiliza buda I know it pains, hapo utake usitake jubilee wamewakosea sana. Sema kwa sababu ya cost as you've said & mlichagua wenyewe ubepari, hakuna budi mambo kama hayo kutokea, tena ndio kwaanza yanaanza, serikali ndio inawajibu kusaidia viwanda vyenu vitoze cost ndogo.
 
Kum
Eti cost!! The truth nikwamba hamna technology ya mass production alafu mnatetea AGOA. Wachina pamba wanaichukua Africa and then your defending your self through cost. Kubali Hamna viwanda vya kutosha vya nguo. Nahi utasema mini??
Yet Kenya sold to the US clothes worth nearly 400m$!

Tanzania ikiuzia Kenya nguo worth how much?
 
Hiyo tshirt moja tu ndio mnaonyesha, wapi zingine? Ni kampuni gani hiyo Tanzamia ilipewa hiyo tenda kusupply Tshirts katika uzinduzi wa sgr?
Man! Zipo kampuni mob, hiyo most likely itakuwa ni mojawapo za kampuni zilizopo Arusha, venye ni karibu na Nairobae. Na hizo kampuni hazichukui tenda ya kutengeneza T-shirt moja, hiyo moja ni sample tu. Kampuni itakuwa iliwatengenezea t shirts elfu na zaidi huko, maana kuna discounts kubwa, the larger the bulk.
 
Hivi umevuta bangi?? Hiyo reply niyangu au ya Mkenya mwenzako?? Au wewe mgeni humu jamii forum?? Soma nani kaandika hiyo viwonder sikunyingine usikulupuke. Huyo nimkenya mwenzako alafu na wewe unaandika kiswahili kibovu
/
Hapo kwenye bold umeniuaa, mulisaaa hivi hivyo viwonder ni yapi? Utaua kitu yenye haipo?
 
Hapo tunakubali walikosea, lakn that is off topic.

Topic hapa ni kuhusu Kenya kuuza nguo worth 400m$, na nyinyi wengine nyote kujumishwa hamfikishi hata 45m$!

Mnalenga huo ukweli na sijui sgr tshirts na Jubilee tshirts on China.
 
Mnauza mashuka na nguo za wafungwa mnaita nguo. Angalia picha aliyo post rafiki yako. Pili sisi atuitaji Marekani wakati soko la ndani linatoshabado. For you Kenyans your producing clothing which you don't consume and consume what you don't produce. Najua umeelewa tofauti yetu na nyinyi.
Yet Kenya sold to the US clothes worth nearly 400m$!

Tanzania ikiuzia Kenya nguo worth how much?
 
Wakenya wanafiki sana. Walivunja east Africa community kipindi kile kwa unafiki wao. Sasa ivi wakivunja na tunafungia hakuna nyang'au wowote wa Kenya kuja apa Beautiful land of Tanzania
 
Hapo tunakubali walikosea, lakn that is off topic.

Topic hapa ni kuhusu Kenya kuuza nguo worth 400m$, na nyinyi wengine nyote kujumishwa hamfikishi hata 45m$!

Mnalenga huo ukweli na sijui sgr tshirts na Jubilee tshirts on China.
Topic ni kuhusu mauzo marekani, sisi haturukii huko nje kabla ya kumalizana na huku ndani. Sasa nyie mnauza nini marekani wakati vi T-shirt tu mnaagiza tokea China na Tz. Na markets sio marekani peke yake.
 
 
Naludia tena. For you Kenyans you produce clothing which you don't consume and consume what you don't produce. Which is the vice versa with Tanzania. Ndomaana atunampango sana na soko la Marekani. Unapo mpiga chura teke unamuongezea mwendo. Wanalijua vizuri sana tu wamarekani. Atutaki tuje nasababu za walitwambia ivi mala vile. Tunajisimamia mkuu
Hapo tunakubali walikosea, lakn that is off topic.

Topic hapa ni kuhusu Kenya kuuza nguo worth 400m$, na nyinyi wengine nyote kujumishwa hamfikishi hata 45m$!

Mnalenga huo ukweli na sijui sgr tshirts na Jubilee tshirts on China.
 


Ha! Ati Tanzanians dont wear mitumbas? Danganya wengine.
 
Basi jaribu kuleta container lako la mitumba uone nini tutafanya. Ujinga wakuvaa mitumba utabaki Kenya. Unavaa nguo za marehemu aliye kufa ulaya.??? It seems huko mnashare hadi nguo..
Ha! Ati Tanzanians dont wear mitumbas? Danganya wengine.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Mkuu Soma tena hyo Paragraph....

Kenya is The Largest Exporter on AGOA

AGOA IS HQ in Nairobi
 
So, are u saying that Kenya imports all the raw materials from Asia worth nearly 400m$, and that it does not produce even "buttons", of all the things?
Hahaha, Kenya iko na very vibrant chemicals industry, dye tushindwe kutengeza namna gani?

Bora hata Watanzania wenzangu wamekujibu, because you've started to loose the plot. Hivi hata ulisoma nilichoandika au umekurupuka kujibu haraka haraka, didn't you see the part I said.... Kenya is not producing enough yarn, enough polyester, enough dye, keyword here is ENOUGH. Even though, unasema Kenya mna-vibrate chemical industry (which i will not believe for a second), wapi mnapata "secondary" raw material za kutosheleza viwanda vya nguo, vipi Kenya cotton industry ni kubwa ya kuweza kutosheleza production ya nguo zote hizo, do you even know what is required to produce polyester material, sawing machine zinatoka wapi?

But the funny thing is ...pale manpokataa kukataza mitumba, your making brand new cloth, ship them to US, end then import them back as mitumba. Mbaya zaidi, those brand new cloth you've sold to US are paying for themselves kwa pesa mnayonunulia mitumba. In the simple terms, matajiri wanaolazimisha AGOA iendelee ili watengeneze pesa hawajali watu wa kipato cha chini wanavaa nini. How sad is that.


Why China and India benefit more from Agoa than Kenya

'Does AGOA unfairly benefit Chinese firms?' - Agoa.info - African Growth and Opportunity Act

AGOA benefited Chinese entrepreneurs more than Africans, says Mboweni - African Business Magazine
 
Shida nikwamba kiwanda changuo cha Kenya akina technology sawa nakiwanda cha Marekani. Ndo maana wao wanawaletea mitumba nakuingiza pesa nyingi kuliko ata nguo mpya mnazo uza kwao.
The AGOA CAP allows any single african Nation to export upto 5bn$ to the USA duty free.....but hata kufika 500mn$ imekuwa balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…