Kenya ya tatu Afrika kwa kuwa tayari kithibiti majanga ya aina yoyote

Kenya ni Nchi pekee ya kiafrika iliyoshtukiia mpango wa Augenics waliokuwa wamechanganya Chanjo ya tetanus na chemicals za kuzuia uzazi.

Sisi hapa bongo huwa tunatega tako tu .
 
= Kudhibiti
 
Beba virago vyako hamia kenya sasa
Kenya ni Nchi pekee ya kiafrika iliyoshtukiia mpango wa Augenics waliokuwa wamechanganya Chanjo ya tetanus na chemicals za kuzuia uzazi.

Sisi hapa bongo huwa tunatega tako tu .
 
Lile bwawa lilivyopasuka mlikabiliana nalo? Je ilikuwa watu wakapoteza maisha?
 
Mbona Kenya mnashidwa kuithibiti njaa ,wapi mnakwama waisrael wame wasaidia Sana lakini hakijaeleweka .🤔Sasa mtakuwa hub ya njaa
 
Hahaha,
Hahaha mnapata tabu sana,
Njia ilishawapunguzia uwezo wa kufikiri mmebaki kutapa tapa tu hapa.

Labda kw wafuasi wa jiwe km wewe....vp..umeshalipwa hela ya mwezi huu kuja kuipigani ccm jf..
 
Endelea ku lease ardhi kw ccm tu...huku ukijiita mzalendo...

Unaishi km squater kwenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha,
Hahaha mnapata tabu sana,
Njia ilishawapunguzia uwezo wa kufikiri mmebaki kutapa tapa tu hapa.

 
Majanga yote!!
1. Vipi kuhusu janga la njaa
2. Vipi kuhusu janga la slums
3. Vipi kuhusu janga la flying toilets
4. Vipi kuhusu janga la tribalism!?
5. Vipi kuhusu janga la wizi na rushwa!?
6. Vipi kuhusu janga la ukame!?
7. Vipi kuhusu janga la flood.
8. Vipi kuhusu janga la deni kwa wachina!?
9. Vipi kuhusu janga la kuporwa ardhi na wazungu!?
10. Vipi kuhusu janga la kutotawaza baada ya kazi!?
11. Vipi janga la ukosefu wa maji Nairobi!?
12. Vipi janga la kipindupindu!?
13. Vipi janga la kunguni na chawa kwenye matatu.

Je majanga mnayosema ni yapi!?
 
Unajua maana ta kukodi kweli wewe,
Tungekuwa tunakodi basi ingekuwa kila msimu wa kilimo tunalipia [emoji23][emoji23][emoji23]
Idiot, umeishiwa argument naona.
Endelea ku lease ardhi kw ccm tu...huku ukijiita mzalendo...

Unaishi km squater kwenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ujinga wa LDC na kukosa utu mnachinja albinos sababu nyie sio binadamu.
 
Bwana wa past news umekuja kubonga mob tena,
Karibu Tanzania nchi yenye watu wakarimu na wenye utu.

Nyie Tz anzeni na utu kwanza ndio hamna .

Kuchinja albinos kinyama na kufurahia watu wakifa njaa ni kukosa utu na ubinadamu kabisa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…