Kenya ya tatu Afrika kwa kuwa tayari kithibiti majanga ya aina yoyote

Kumbe wajua ni kulipa..lipeni basi ndio ATCL iende sauzi
Unaongea out of point kabbisa.
Nilichokihitaji kingine ww wajibu kingine.
Anyway ATCL haidaiwi bali yule mkulima alishikilia mali ya ATCL ili ashinikize deni la kutaifishwa mali zake lilipwe.
Ndege imerudi na anadaiwa fidia huyo mzungu.
 
Wewe ndio huelewi...ATCL si ni ya serikali...kwhyo ni haki yake kuizuia hyo ndege...so lipeni deni ndio muende hko..
Unaongea out of point kabbisa.
Nilichokihitaji kingine ww wajibu kingine.
Anyway ATCL haidaiwi bali yule mkulima alishikilia mali ya ATCL ili ashinikize deni la kutaifishwa mali zake lilipwe.
Ndege imerudi na anadaiwa fidia huyo mzungu.
 
Ni janga gani tumeshindwa kuli handle
Dollar ilipoanza kuimarika kama miaka mitatu iliopita hadi sasa shilingi yenu imeanguka vibaya sana, Thamani yake imeshuka kama asilimia zaidi ya 30 ...
 
Dollar ilipoanza kuimarika kama miaka mitatu iliopita hadi sasa shilingi yenu imeanguka vibaya sana, Thamani yake imeshuka kama asilimia zaidi ya 30 ...
Bongo hatutumii dollars mkuu
 
Huwezi ona mkongwe jf anabisha hilo...
Hujui umri wangu mkuu.
Suala la upapaswaji China haliwezi kuipapasa Tz.Unakumbuka kipindi cha Jiwe alivyokua waziri wa miundombinu mpaka China kutujengea rami mbovu??!!!!
Magufuli aliibomoa na kuwarudisha waijenge upya.
Nambie kenya mngeweza fanya hilo???
Yani under Magufuli haturuhusu upapaswaji kama Kenya mnavyofanyiwa.
 
Wewe ndio huelewi...ATCL si ni ya serikali...kwhyo ni haki yake kuizuia hyo ndege...so lipeni deni ndio muende hko..
Asa walioiruhusu ile ndege mahakamani na kumtaka mkulima alipe hasara za uendeshaji ndio ukabishane nao.
 
Kichekesho!!

Kila siku masoko yanateketea kwa moto huko.
 
Km mlijengewa rami mbovu ni nynyi...
 
Naona we pia ni mmoja wa wale waliopigwa kung fu na wachina hko bongo
Ushaelewa nachomaanisha.
Chinese wanawanyanyasa sana weusi wenzenu ktk ujenzi wa SGR lakn hamchukui hatua.
Manake una hasira nao sana
 
Jamani njooni huku mcheke na slum boy .....eti majanga mmeshindwa hata kuopoa kigari kimoja baharini vikosi vyote vimeshindwa hata sijui vinafanya nini !!!??? Ile Gari kuua mama na mtoto ni uzembe mkubwa kwenye kivuko **** lifejaket kwanini waliokuwa kwenye kivuko wasivae na kuingia majini kuokoa mam na mtoto kabla ya Gari kuzama ikuwa ni kazi ya Dakiia 3 tu kuwaokoa kwenye gari
 
Hii najua ni habari mbaya sana kwako. Hatujalipa hawa majamaa walioandika hii ripoti. Hata hatuwajui. Lakini najua huwezi tuambia hongera.
tony vipi aujambo naona kdf yenye bajeti kubwa wameshindwa kuopoa kagari hawana hata magnetic kama tuliznazo za kunasa chuma chini ya bahari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…