Itabidi nipelekane nawe taratibu, maana nijuavyo mpo slow sana kwenye information processing, haya ninayoyasema leo hadi zipite kama wiki mbili, haiwezekani ukayaelewa kwa sasa.
Nimekumbia Kenya ilikua kwenye taharuki hatari zaidi ya zote kwenye mwaka wa 2017, wapinzani walitishia kwamba Jubilee ikifanya figisu kama zile za CCM, basi hawataenda mahakamani, kitaumana. Walikua tayari na walihubiri huo utayari kwa lolote. Sote tulikua hapa, video zilisambazwa kwenye mitandao, wanasiasa kadhaa wakatiwa lock up kwenye kampeni kwa ajili ya matamshi yaliyojaa uchochezi.
Wakenya wengi wakasitisha uwekezaji na wakakaa mkao wa kusubiri, Watanzania wakasubiri kwa hamu kuona damu. Lakini Mungu akatuwezesha tukavuka salama, wapinzani wakabadilisha kauli na wakaamua kwenda mahakamani, kuanzia hapo mengine yakawa historia.
Sasa juzi wapinzani na serikali wamepatana pamoja kiuzalendo na kuanza mazungumzo ya kuboresha nchi, najua inawauma lakini ndio hivyo tena hamna jinsi.
Halafu kwenye uchumi wa nchi yenu, manufacturing GVA imeshuka chini kwenye kipindi cha Magufuli zaidi ya awamu zote, halafu unasema anakaza buti. Nimekupa hadi picha bado umekomaa. Haya nitakuja tena baada ya wiki mbili nategemea utakua umefanya processing ya haya ninayoyasema. Niliona kuna uzi umefunguliwa jinsi IQ zenu ziko chini, hapo inabidi twende na yie kama mlivyo.
Nakuachia mojawapo wa hizo videos