Kenya ya wezi: Zari The Boss lady alalamika kuibiwa marashi,nguo na vito vya thamani na shirika la ndege

Kenya ya wezi: Zari The Boss lady alalamika kuibiwa marashi,nguo na vito vya thamani na shirika la ndege

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Zari Hassan almaarufu The Boss Lady amelalamika kuhusu Shirika la Ndege Kenya kwa wizi uliotokea na kusababisha marashi yake ya thamani kutoweka.

Zari anadai kuwa, kilichomchochea kulikashifu KQ ni kutokana na kupoteza chupa kadhaa za zawadi hiyo ya marashi, ambayo alinunuliwa wakati akiadhimisha siku ya kuzaliwa.

Zari anadai sio mara ya kwanza anapoteza bidhaa zake lakini mara hii aliamua kufungua mdomo na kukemea vikali wizi wa wakenya.

Kupitia ujumbe waliouchapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram, Zari anateta na kulilaumu shirika hilo la ndege kwa kutokuwa makini.

"Suti yangu niliyonunua ghali ya kuvaa kesho kwenye mkutano pia siioni," Zari aliteta.

Kisha alimalizia kwa kusema: “Nimekasirishwa sana na shirika la Kenya Airways, mmempoteza mteja wenu. Nataka mrudishe vitu vyangu ili tumalizane kwa amani.


Maoni yangu

Wakenya Afrika Mashariki nzima ndio wanaongoza kwa wizi, wameibiana wao kwa wao na kuamua kuhamia kwa wengine. Hili si ambo la kufubia macho kabisa. Sisi Afrika Mashariki ni wamoja, tupendane jamani. Mbona sisi Watanzania tunawapenda mpaka tunawagongea dada zenu! BADILIKENI
 
Huyu mama atulie, kwanza kasepa na watoto wa mtu, huwa namshangaa sana Diamond alivyo ovyoo, tatizo kakulia Tanzale bado ana akili za Kitandale Tandale, ukiondoka na watoto wangu na unizuie kuwaona tutaburuzana mahakamani hadi pafuke moshi.
 
Zari Hassan almaarufu The Boss Lady amelalamika kuhusu Shirika la Ndege Kenya kwa wizi uliotokea na kusababisha marashi yake ya thamani kutoweka.

Zari anadai kuwa, kilichomchochea kulikashifu KQ ni kutokana na kupoteza chupa kadhaa za zawadi hiyo ya marashi, ambayo alinunuliwa wakati akiadhimisha siku ya kuzaliwa.

Zari anadai sio mara ya kwanza anapoteza bidhaa zake lakini mara hii aliamua kufungua mdomo na kukemea vikali wizi wa wakenya.

Kupitia ujumbe waliouchapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram, Zari anateta na kulilaumu shirika hilo la ndege kwa kutokuwa makini.

"Suti yangu niliyonunua ghali ya kuvaa kesho kwenye mkutano pia siioni," Zari aliteta.

Kisha alimalizia kwa kusema: “Nimekasirishwa sana na shirika la Kenya Airways, mmempoteza mteja wenu. Nataka mrudishe vitu vyangu ili tumalizane kwa amani.


Maoni yangu

Wakenya Afrika Mashariki nzima ndio wanaongoza kwa wizi, wameibiana wao kwa wao na kuamua kuhamia kwa wengine. Hili si ambo la kufubia macho kabisa. Sisi Afrika Mashariki ni wamoja, tupendane jamani. Mbona sisi Watanzania tunawapenda mpaka tunawagongea dada zenu! BADILIKENI

Na nyie mnaongoza Afrika

 
Huyu mama atulie, kwanza kasepa na watoto wa mtu, huwa namshangaa sana Diamond alivyo ovyoo, tatizo kakulia Tanzale bado ana akili za Kitandale Tandale, ukiondoka na watoto wangu na unizuie kuwaona tutaburuzana mahakamani hadi pafuke moshi.
Wewe ndo huna akili,mtu na akili zako timamu uanze kuzozana kisa mtoto umeambiwa matenga ya nyanya yale!!.. diamond mnjanja ye kazi yake ni kukojoa tu na sasa hivi kahamia kwa dada yenu kashakojoa tayari
 
Duh!!watanzania kumbe hamjui thamani ya watoto...ndo manake mnakodishiwa ardhi
Wewe ndo huna akili,mtu na akili zako timamu uanze kuzozana kisa mtoto umeambiwa matenga ya nyanya yale!!.. diamond mnjanja ye kazi yake ni kukojoa tu na sasa hivi kahamia kwa dada yenu kashakojoa tayari
 
Zari Hassan almaarufu The Boss Lady amelalamika kuhusu Shirika la Ndege Kenya kwa wizi uliotokea na kusababisha marashi yake ya thamani kutoweka.

Zari anadai kuwa, kilichomchochea kulikashifu KQ ni kutokana na kupoteza chupa kadhaa za zawadi hiyo ya marashi, ambayo alinunuliwa wakati akiadhimisha siku ya kuzaliwa.

Zari anadai sio mara ya kwanza anapoteza bidhaa zake lakini mara hii aliamua kufungua mdomo na kukemea vikali wizi wa wakenya.

Kupitia ujumbe waliouchapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram, Zari anateta na kulilaumu shirika hilo la ndege kwa kutokuwa makini.

"Suti yangu niliyonunua ghali ya kuvaa kesho kwenye mkutano pia siioni," Zari aliteta.

Kisha alimalizia kwa kusema: “Nimekasirishwa sana na shirika la Kenya Airways, mmempoteza mteja wenu. Nataka mrudishe vitu vyangu ili tumalizane kwa amani.


Maoni yangu

Wakenya Afrika Mashariki nzima ndio wanaongoza kwa wizi, wameibiana wao kwa wao na kuamua kuhamia kwa wengine. Hili si ambo la kufubia macho kabisa. Sisi Afrika Mashariki ni wamoja, tupendane jamani. Mbona sisi Watanzania tunawapenda mpaka tunawagongea dada zenu! BADILIKENI
Amelijua jiji... hatupendi washamba.
 
Mambo Ni shwari
 
Wewe ndo huna akili,mtu na akili zako timamu uanze kuzozana kisa mtoto umeambiwa matenga ya nyanya yale!!.. diamond mnjanja ye kazi yake ni kukojoa tu na sasa hivi kahamia kwa dada yenu kashakojoa tayari

Ndio matatizo ya mazwazwa wa uswazi kuangukia hela bila elimu, kuna kitu kinaitwa 'success management', mkiangianga hela hapo uswazi huwa hamna kingine, ni mwendo wa kukojoa.
 
Huyu mama atulie, kwanza kasepa na watoto wa mtu, huwa namshangaa sana Diamond alivyo ovyoo, tatizo kakulia Tanzale bado ana akili za Kitandale Tandale, ukiondoka na watoto wangu na unizuie kuwaona tutaburuzana mahakamani hadi pafuke moshi.
Inahusiana nini na wizi wa perfume zake?
 
Huyu mama atulie, kwanza kasepa na watoto wa mtu, huwa namshangaa sana Diamond alivyo ovyoo, tatizo kakulia Tanzale bado ana akili za Kitandale Tandale, ukiondoka na watoto wangu na unizuie kuwaona tutaburuzana mahakamani hadi pafuke moshi.
Akili za Mbuzi hizi sasa
Mada nyingine wewe unatuletea Ugoro ugoro
Mambo ya Diamond yanakujaje hapo!!
Utoto mwingi
 
Ndio matatizo ya mazwazwa wa uswazi kuangukia hela bila elimu, kuna kitu kinaitwa 'success management', mkiangianga hela hapo uswazi huwa hamna kingine, ni mwendo wa kukojoa.
Sio uswazi tu ni duniani kote mtu mwenye akili timamu hagombei mtoto labda uwe huna uwezo wa kuendelea kuzalisha ndo uzozanie mtoto

Dada yako mwenye kaenda kwa Mtz asiye na elimu na tushamkojolea tayari,na hata mkitaka mtoto awe mkenya si hatuna kwere,what a fucking saga!
 
Back
Top Bottom