Kenya yaanza kulegea, yaruhusu Precision Air kuingia Kenya. Je, inatosha kuiridhisha Tanzania?

Kenya yaanza kulegea, yaruhusu Precision Air kuingia Kenya. Je, inatosha kuiridhisha Tanzania?

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Kenya haitafuta haki za usafiri za kampuni ya ndege yenye makao yake Tanzania Precision Air ambayo itaanza safari zake kuelekea Jijini Nairobi siku ya Alhamisi licha ya mgogoro uliopo ambao umeilazimu Dar es Salaam kusitisha kampuni tatu za ndege kutoka Kenya kuelekea nchini humo kulingana na gazeti la Business Daily.

''Precision Air ina haki za usafiri ambazo hazitaathirika kufuatia mgogoro na Tanzania ''

Kenya haitafuta haki za usafiri za kampuni ya ndege yenye makao yake Tanzania Precision Air ambayo itaanza safari zake kuelekea Jijini Nairobi siku ya Alhamisi licha ya mgogoro uliopo ambao umeilazimu Dar es Salaam kusitisha kampuni tatu za ndege kutoka Kenya kuelekea nchini humo, kulingana na gazeti la Business Daily.

Gazeti hilo limemnukuu mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya safari za ndege nchini Kenya KCAA Gilbert Kibe akisema kwamba kampuni ya ndege ya Precision ina haki za usafiri ambazo hazitaathirika kufuatia mgogoro uliopo kati ya Kenya na Tanzania.

Kampuni ya Kenya Airways ambayo ilikuwa na haki zake za usafiri kuelekea Tanzania mwanzo wa mwezi huu wakati kampuni hiyo ya ndege ilipoendelea na safari zake za kimataifa, imezuiwa na mamlaka ya Tanzania kuingia nchini humo kama hatua ya ili kulipa kisasi baada ya Kenya kutoiorodhesha Dar es Salaam katika orodha ya mataifa yalio salama.

''Kampuni ya ndege ya Precision ina haki zilizopo na ninachofahamu ni kwamba haitazuiwa kutua Kenya'', alisema bwana Kibe akizungmza na gazeti la Business Daily.

Bwana Kibe alinukuliwa akisema kwamba anaendelea kufanya majadiliano na wenzake wa Tanzania ili kuondoa masharti yaliowekwa na Tanzania .

Tanzania ilizipiga marufuku kampuni tatu za ndege kutoka Kenya kuingia nchini humo kama hatua ya kulipiza kisasi vita vya kibiashara ambavyo vimekuwepo kati ya mataifa hayo kuhusu usimamizi wa mlipuko wa virusi vya corona.

Unaweza pia kutazama:

Hatua hiyo iliochukuliwa na Tanzania inajiri baada ya Nairobi , kwa mara ya pili mfululizo, kuiweka Tanzania miongoni mwa mataifa ambayo sio salama na virusi vya corona.

Hatua hiyo ina maana kwamba wasafiri kutoka Tanzania wataendelea kukabiliwa na masharti ya lazima ya kuwekwa katika karantini kwa wiki mbili wanapowasili Kenya ili kuzuia maambukizi ya maradhi hayo.

Wasafiri kutoka mataifa 130, hatahivyo wako huru kuingia nchini Kenya bila masharti yoyote kufuatia hatua ya pili ambapo serikali iliongeza mataifa mengine 90 katika orodha yake ya mataifa yanayostahili kuingia nchini humo.

Hatua hiyo ilikasirisha mamlaka nchini Tanzania ambayo wiki iliopita ilijibu kwa kuzifungia kampuni tatu za ndege ikiwemo, Airkenya Express, Fly540 na Safarilink Aviation kutosafiri katika maeneo yoyote nchini Tanzania.

"Sababu ya uamuzi wa kufungia kampuni tatu za ndege kutoka Kenya ni mgogoro uliopo kati ya mataifa haya mawili, Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya safari za ndege nchini Tanzania TCAA Hamza Johari alithibitisha katika mahojiano na gazeti la Business Daily mjini Dar es Salaam.

''Baadhi ya mataifa yanaruhusiwa kuingia Kenya bila masharti kama hayo licha ya kwamba yana viwango vya juu vya maambukizi ya Covid-19'', alisema bwana Johari.

Kenya na Tanzania katika kipindi cha miaka minne zimekuwa zikizozana kuhusu visa, kodi na haki ya kuingia katika soka kwa biadha kama vile sukari na maziwa.

Hatua hiyo imeathiri biashara kati ya mataifa hayo mawili, na kusabavisha misururu ya mikutano ikiwemo mkutano wa Arusha kutoka mwezi Novemba 12-16 mwaka uliopita ili kujaribu kuimarisha uhusiano .

Afisa mkuu mtendaji wa shirika la ndege la Kenya Airways Allan Kilavuka alisema kwamba njia ya kuelekea Tanzania inasalia kuwa muhimu kutokana na idadi ya wateja inaowaleta Kenya kwa safari nynegine za kimataifa kwa kutumia ndege za kampuni hiyo.

Tunatumai kwamba tatizo hili litatatuliwa haraka iwezekanavyo , alisema bwana Kilavuka.

Kenya kuiruhusu kampuni ya ndege kutoka Tanzania kuingia nchini humo
MY TAKE: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kenya kuiruhusu kampuni ya ndege kutoka Tanzania kuingia nchini humo
MY TAKE: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefungua hiyo link inasema kenya haitafuta vibali vya precision air, vitaendelea kutumika. Hii ina maana ndege haijaenda leo ila zikienda, zitaruhusiwa. Hapo wamelegea tayari.

Lkn tunataka wautangazie ulimwengu kuwa, Tanzania ni salama na wataingia nchini Kenya kama wanavyoingia wageni wengine. Mtu akiwa na cheti chake, asilazimishwe kukaa 14days compulsory. Ila akiingia raia hana cheti, apimwe, na akikutwa mgonjwa basi apelekwe quarantine si vinginevyo
 
Kenya is busy with your money, you have to know that Precision air will have to pay parking fees in all the Kenyan airports that it will land in. All those money will be taken by KAA.
By the way Precision Air is owned by you kunyaland! I mean majority share!! Now the issue is... will the passengers be allowed in without the mandatory 14 days quaranteen??!
 
Acha wajitese watajua kama hawajui.
 
By the way Precision Air is owned by you kunyaland! I mean majority share!! Now the issue is... will the passengers be allowed in without the mandatory 14 days quaranteen??!
Even KQ is a Kenyan airline but it pays parking fees at our airports. For Tanzanians, you have to remain in your country. Precision will be carrying South Africans and Zimbabweans
 
Wakenya wana majority share kwenye hilo shirika ndiyo maana wanalirusu kuingia huko lakini issue ni hao abiria wataingia Kenya bila kuwekwa kwenye karantini?? Au ni danganya toto tu!
Shirima 58
Kenya airways 41
Others 1
Screenshot_20200831-200732.jpg
 
Even KQ is a Kenyan airline but it pays parking fees at our airports. For Tanzanians, you have to remain in your country. Precision will be carrying South Africans and Zimbabweans
Hopeless comment ever. You are really nyang'ao!!
 
Nimefungua hiyo link inasema kenya haitafuta vibali vya precision air, vitaendelea kutumika. Hii ina maana ndege haijaenda leo ila zikienda, zitaruhusiwa. Hapo wamelegea tayari.

Lkn tunataka wautangazie ulimwengu kuwa, Tanzania ni salama na wataingia nchini Kenya kama wanavyoingia wageni wengine. Mtu akiwa na cheti chake, asilazimishwe kukaa 14days compulsory. Ila akiingia raia hana cheti, apimwe, na akikutwa mgonjwa basi apelekwe quarantine si vinginevyo
Hey fool, Precision air doesn`t carry Tanzanians alone. The airline also operates in other countries that their citizens are allowed to come to Kenya. Nyinyi bado mtachungulia kwa dirisha.
 
Kenya haitafuta haki za usafiri za kampuni ya ndege yenye makao yake Tanzania Precision Air ambayo itaanza safari zake kuelekea Jijini Nairobi siku ya Alhamisi licha ya mgogoro uliopo ambao umeilazimu Dar es Salaam kusitisha kampuni tatu za ndege kutoka Kenya kuelekea nchini humo kulingana na gazeti la Business Daily.

''Precision Air ina haki za usafiri ambazo hazitaathirika kufuatia mgogoro na Tanzania ''

Kenya haitafuta haki za usafiri za kampuni ya ndege yenye makao yake Tanzania Precision Air ambayo itaanza safari zake kuelekea Jijini Nairobi siku ya Alhamisi licha ya mgogoro uliopo ambao umeilazimu Dar es Salaam kusitisha kampuni tatu za ndege kutoka Kenya kuelekea nchini humo, kulingana na gazeti la Business Daily.

Gazeti hilo limemnukuu mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya safari za ndege nchini Kenya KCAA Gilbert Kibe akisema kwamba kampuni ya ndege ya Precision ina haki za usafiri ambazo hazitaathirika kufuatia mgogoro uliopo kati ya Kenya na Tanzania.

Kampuni ya Kenya Airways ambayo ilikuwa na haki zake za usafiri kuelekea Tanzania mwanzo wa mwezi huu wakati kampuni hiyo ya ndege ilipoendelea na safari zake za kimataifa, imezuiwa na mamlaka ya Tanzania kuingia nchini humo kama hatua ya ili kulipa kisasi baada ya Kenya kutoiorodhesha Dar es Salaam katika orodha ya mataifa yalio salama.

''Kampuni ya ndege ya Precision ina haki zilizopo na ninachofahamu ni kwamba haitazuiwa kutua Kenya'', alisema bwana Kibe akizungmza na gazeti la Business Daily.

Bwana Kibe alinukuliwa akisema kwamba anaendelea kufanya majadiliano na wenzake wa Tanzania ili kuondoa masharti yaliowekwa na Tanzania .

Tanzania ilizipiga marufuku kampuni tatu za ndege kutoka Kenya kuingia nchini humo kama hatua ya kulipiza kisasi vita vya kibiashara ambavyo vimekuwepo kati ya mataifa hayo kuhusu usimamizi wa mlipuko wa virusi vya corona.

Unaweza pia kutazama:

Hatua hiyo iliochukuliwa na Tanzania inajiri baada ya Nairobi , kwa mara ya pili mfululizo, kuiweka Tanzania miongoni mwa mataifa ambayo sio salama na virusi vya corona.

Hatua hiyo ina maana kwamba wasafiri kutoka Tanzania wataendelea kukabiliwa na masharti ya lazima ya kuwekwa katika karantini kwa wiki mbili wanapowasili Kenya ili kuzuia maambukizi ya maradhi hayo.

Wasafiri kutoka mataifa 130, hatahivyo wako huru kuingia nchini Kenya bila masharti yoyote kufuatia hatua ya pili ambapo serikali iliongeza mataifa mengine 90 katika orodha yake ya mataifa yanayostahili kuingia nchini humo.

Hatua hiyo ilikasirisha mamlaka nchini Tanzania ambayo wiki iliopita ilijibu kwa kuzifungia kampuni tatu za ndege ikiwemo, Airkenya Express, Fly540 na Safarilink Aviation kutosafiri katika maeneo yoyote nchini Tanzania.

"Sababu ya uamuzi wa kufungia kampuni tatu za ndege kutoka Kenya ni mgogoro uliopo kati ya mataifa haya mawili, Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya safari za ndege nchini Tanzania TCAA Hamza Johari alithibitisha katika mahojiano na gazeti la Business Daily mjini Dar es Salaam.

''Baadhi ya mataifa yanaruhusiwa kuingia Kenya bila masharti kama hayo licha ya kwamba yana viwango vya juu vya maambukizi ya Covid-19'', alisema bwana Johari.

Kenya na Tanzania katika kipindi cha miaka minne zimekuwa zikizozana kuhusu visa, kodi na haki ya kuingia katika soka kwa biadha kama vile sukari na maziwa.

Hatua hiyo imeathiri biashara kati ya mataifa hayo mawili, na kusabavisha misururu ya mikutano ikiwemo mkutano wa Arusha kutoka mwezi Novemba 12-16 mwaka uliopita ili kujaribu kuimarisha uhusiano .

Afisa mkuu mtendaji wa shirika la ndege la Kenya Airways Allan Kilavuka alisema kwamba njia ya kuelekea Tanzania inasalia kuwa muhimu kutokana na idadi ya wateja inaowaleta Kenya kwa safari nynegine za kimataifa kwa kutumia ndege za kampuni hiyo.

Tunatumai kwamba tatizo hili litatatuliwa haraka iwezekanavyo , alisema bwana Kilavuka.

Kenya kuiruhusu kampuni ya ndege kutoka Tanzania kuingia nchini humo
MY TAKE: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni porojo . Tangu mwanzo Kenya walisema hawajazuia ndege zetu. Isipikuwa karantini ni lazima.
 
Hey fool, Precision air doesn`t carry Tanzanians alone. The airline also operates in other countries that their citizens are allowed to come to Kenya. Nyinyi bado mtachungulia kwa dirisha.
Ok idiot, you own 41 of the company, thus it's yours. Hatudanganyiki
 
Ok idiot, you own 41 of the company, thus it's yours. Hatudanganyiki
I can see you don`t have clue in what we are saying here. Precision Air flies to Uganda, Zambia, SouthAfrica, and Comoros. It will only be allowed to come to Kenya when carrying passengers from the countries I mentioned above but not Tanzanians.
 
Acheni porojo . Tangu mwanzo Kenya walisema hawajazuia ndege zetu. Isipikuwa karantini ni lazima.
Wewe jaribu kuwaelewa wakenya, hiyo walibadilisha baada ya Tanzania kuzuia KQ zisije Tanzania, orodha waliyotoa inahusu nchi ambazo ndege zao zitaruhusiwa kuingia Kenya, walipoona tumezuia KQ ndio wajabadilisha maneno kama kawaida yao, soma "heading" ya ile list waliyotoa
 
Hey fool, Precision air doesn`t carry Tanzanians alone. The airline also operates in other countries that their citizens are allowed to come to Kenya. Nyinyi bado mtachungulia kwa dirisha.
Dah... Huu ndiyo upuuzi wa Wakenya...hivi mnajua sayansi ya COVID-19 kweli? [emoji2960]
 
Back
Top Bottom