Kenya yaanza kulegea, yaruhusu Precision Air kuingia Kenya. Je, inatosha kuiridhisha Tanzania?

U communist hautatufikisha popote. Kama ambavyo u communist haujaitoa nchi yoyote mrisi duniani, zaidi ya uzalendo uchwara.
 
tatizo tanzania ni wastaaarabu sana na wanahuruma, sometimes wanatakiwa kujitoa ufahamu na kukaushia kabisa hiyo issue, ili kama hasara ijulikane imekula hasara upande wa kenya. wasiruhusu kijinga jinga kuchezewa na majirani. Wasiruhusu kitu kuingia hadi uchaguzi uishe tupate rais wetu mpya yeye ndio aamue kufungua au kukaushia hiyo issue
 
Even KQ is a Kenyan airline but it pays parking fees at our airports. For Tanzanians, you have to remain in your country. Precision will be carrying South Africans and Zimbabweans
Mnatapa tapa Mara hili Mara lile ,Tanzania tuna msimamo hatufanyi mambo ya kukurupuka ni kwamba bila ya Kenya tunasonga mbele ni muda utasema .
 
Hakuna chochote wanajaribu kufurukuta baada ya kuona hasara wanayopata haina mfano baada ya kufungiwa mashirika matatu wiliyokua wanalingia wamekaa kuumiza vichwa tutaingiaje TZ wakaona watumie shirika la huku wanajua halitafungiwa sasa ngoja dawa yenu inachemka mpaka maji muite mma
 
Najua sayansi ya COVID-19 yote isipokuwa ile ya kupima mbuzi na papai.
Dah....kama mnyarwanda na mtanzania watasafiri kwa ndege moja...kutoka Dar hadi Nairobi...kisha mtanzania unamuweka karantini kwa 2 weeks....basi sisiti kukuita mpumbavu [emoji2960]
 
Wakenya wana majority share kwenye hilo shirika ndiyo maana wanalirusu kuingia huko lakini issue ni hao abiria wataingia Kenya bila kuwekwa kwenye karantini?? Au ni danganya toto tu!
KQ ina 41% ndani ya PW!
 
Dah....kama mnyarwanda na mtanzania watasafiri kwa ndege moja...kutoka Dar hadi Nairobi...kisha mtanzania unamuweka karantini kwa 2 weeks....basi sisiti kukuita mpumbavu [emoji2960]
mnyarwanda akatoa negative covid 19 certificate tutaiamini kwa kuwa wale wapo serious na hili janga na hawana la kuficha ila nyinyi hadi mnaeza forge certificate kwaivo kaeni kwenu kama hamtaki kupimwa na kuwekwa karantini, mmekaribishwa tena tukimalizana na hili janga
 
Tutaheshimiana tu
 
Dah...kama mnyarwanda katokea Dar. ndiyo maana naita upumbavu...kwa mujibu wa sayansi ya COVID-19 [emoji2960]
 
Acheni porojo . Tangu mwanzo Kenya walisema hawajazuia ndege zetu. Isipikuwa karantini ni lazima.
Soma hii habari toka katika gazeti la Kanya vizuri, utaelewa kwamba Kenya walifungia ndege zetu.
Tourism dips amid Kenya, TZ tiff

Hata ukimsikiliza huyo mwenyekiti wa wawekezaji katika sekta ya utalii anavyosema kwamba "Kenya tumewakosea sana wenzetu, haiwezikani sisi twende kwao lakini wao wasije kwetu", hilo ndio lilikua lengo lao, walibadilisha maneno baada ya kuizuia KQ kuja Tanzania
 
KQ ina 41% ndani ya PW!
Sasa hapa ndo tujue kama wakenya hawana akili kuanzia viongozi wao mpaka kibera wametegwa kidogo wametegega , maana yake walikuwa chuki yao wanaificha ficha sasa ipo wazi kumbe ishu sio Corona kama Corona inamana abiria wakipanda ndege ambayo wao wana yao korona haiambukizi ? Wanazidi kujivua nguo mi naomba viongo TZ wasiwape mgongo waendelee kukaza hiyo nati mpaka kwenye hili shirika mpaka wakose pakutokea maana hawa [emoji205] toka zaman walikua wanatumia mwianya yetu kama hii kujifaidisha
 
Tupo Busy nayetu
Hao wapuuzi Waache wapige ngoma na kuyakata wenyewe
 
Hawa hapa wameanza kujipendekeza..



MY TAKE
Trick za kitoto sana...Our demands r pretty simple!
  1. No Air tanzania to Kenya's Nairobi, Mombasa, Eldoret and Kisumu no any airline from Kunyaland to be allowed to land in Tanzania!
  2. No free movement of tanzanians in Kunyaland no any airline from Kunyaland is to be allowed to land in Tanzania


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…