Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 7,729
- 3,569
do you guys also have 4G network in Tanzania?I have just proposed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
do you guys also have 4G network in Tanzania?I have just proposed
Upo nchi gani labda na kama upo Tz unae ndugu kutoka Uk au us umwambie akutumie pesa mpatie namba yako ya tigoNitajie hizi huduma PayPal unapokeaje hela moja kwa moja kwenye simu hapa bongo.. skriil je..??
Hayo Kenya yanawezekana ndio maana hata huku tz wengine wameanza kutumia line za kenya safaricom!
Kila Mara limekuwa likizungumzwa humu hili we vipi au umekabwa na udaga wa koromeo..[emoji12]
Taja hiyo njia sasa..
Usilete lawama ikiwa haujui chochote kuhusu mitandao wakati Mimi ni wakala na mara nyingi natoa pesa kutoka nje na juzi tu kunajamaa katimia laini yangu kutuma pesa kutoka Uk ,nikampa namba akamtumia kwenye WhatsApp dakika 0 tu akatuma 81 elfu nikamtolea kaenda zake halafu wewe huna hata kitambulisho cha nida unaropoka tuNitajie hizi huduma PayPal unapokeaje hela moja kwa moja kwenye simu hapa bongo.. skriil je..??
Hayo Kenya yanawezekana ndio maana hata huku tz wengine wameanza kutumia line za kenya safaricom!
Kila Mara limekuwa likizungumzwa humu hili we vipi au umekabwa na udaga wa koromeo..[emoji12]
Taja hiyo njia sasa..
Tena hiyo toka mwaka Jana watu wanatumiwa tu wengine toka UAENitajie hizi huduma PayPal unapokeaje hela moja kwa moja kwenye simu hapa bongo.. skriil je..??
Hayo Kenya yanawezekana ndio maana hata huku tz wengine wameanza kutumia line za kenya safaricom!
Kila Mara limekuwa likizungumzwa humu hili we vipi au umekabwa na udaga wa koromeo..[emoji12]
Taja hiyo njia sasa..
Ndio hiyo sanasana inatumika kwenye emergencyNgoja niwapanue kidogo Akili Alphabet kupitia Google ana hizo project za Loon hizo Balloon hutumika sehemu ambapo hakuna coverage ya minara yani mfano saivi dar patokee mafuriko miundo mbinu ya mawasiliano izingue basi baloon linarushwa ili kuepùsha watu kuwa out of coverage, Ingieni Flight Radar mcheki maeneo ambayo hayo maloon yapo utaona ni sehemu za visiwa au sehemu ambazo ni remote sana kiasi kwamba hakuna coverage ya Minara na Vsat internet vi sattelite ni costful sana ndio zina rushwa izo loon mji kama dar ambao coverage yàa 4G everywhere ni upuuzi kutumia baloon ambazo ziko almost ft 50000 above the sky watu naona wanasifu tu hata hawaelewi purpose ya izo loon
Sasa watu wanasifia eti wakati hizo loon ni temporary na back upNdio hiyo sanasana inatumika kwenye emergency
Kumbe network ya Safaricom inafika hukoNitajie hizi huduma PayPal unapokeaje hela moja kwa moja kwenye simu hapa bongo.. skriil je..??
Hayo Kenya yanawezekana ndio maana hata huku tz wengine wameanza kutumia line za kenya safaricom!
Kila Mara limekuwa likizungumzwa humu hili we vipi au umekabwa na udaga wa koromeo..😜
Taja hiyo njia sasa..
Safaricom huku c ndo VodacomKumbe network ya Safaricom inafika huko
Boss acha ushamba basi hujui kitu kinaitwa Roaming? Mbona ata tigo uko kwenu inapatikanaKumbe network ya Safaricom inafika huko
Nimeuliza swali. Waswahili wanasema kuuliza si ujinga.Boss acha ushamba basi hujui kitu kinaitwa Roaming? Mbona ata tigo uko kwenu inapatikana
Inafika Hadi SatafrikaKumbe network ya Safaricom inafika huko
Basi ndo ivo boss ata mtandao wa US unashika hapa bongo kwa kutumia minara ya hapa inaitwa Roaming gharama yake huwa kubwa kidogo compare na local chargesNimeuliza swali. Waswahili wanasema kuuliza si ujinga.
Naona tumechengana hapa hiyo unayozungumzia wewe naifahamu!.. achana na hilo ipo hivi kuna watu wanafanya kazi online na njia za kulipwa hutumia ama PayPal au skrill n.k sasa bongo unaweza kulipia kutumia hizo app ila wewe kutoa hela kwenye PayPal kuja kwenye simu ndugu hilo ni zigo!!.. nawakati Kenya hilo lawezekana!.. na hapo usipoelewa kanywe balimi ndo uje tujadili tena.. we unawaza mpk kuwa na ndugu tu huko nje wa kukutumia pesa hilo njia za kupokea zipo kedekede sasa kafanye kazi online au utumiwe hela kwa njia ya PayPal halafu uitoe kwa tigo pesa ndo utaelewa naandika nini..Usilete lawama ikiwa haujui chochote kuhusu mitandao wakati Mimi ni wakala na mara nyingi natoa pesa kutoka nje na juzi tu kunajamaa katimia laini yangu kutuma pesa kutoka Uk ,nikampa namba akamtumia kwenye WhatsApp dakika 0 tu akatuma 81 elfu nikamtolea kaenda zake halafu wewe huna hata kitambulisho cha nida unaropoka tu
Tena hiyo toka mwaka Jana watu wanatumiwa tu wengine toka UAE
We unawaza ndugu tu wa kukutumia hela..😅Upo nchi gani labda na kama upo Tz unae ndugu kutoka Uk au us umwambie akutumie pesa mpatie namba yako ya tigo
Itakua we kitoiWe unawaza ndugu tu wa kukutumia hela..[emoji28]
Vitu vyengine tafuta details za kutosha kama hujaelewa komamanga mkubwa wewe[emoji12]
Wasiyapige tu hao Wakenya ila ni hatua nzuri.
Kwani hata kama sio ndugu utaweza kutumiwa pesa na mtu usiemjua au usiekua na mipango nae hiyo kukuambia ndugu nimekutolea mfano tu ,na kwan Kwa hiyo App unafaidika nini hakuna makato au ilimradi tu utumie na weweWe unawaza ndugu tu wa kukutumia hela..[emoji28]
Vitu vyengine tafuta details za kutosha kama hujaelewa komamanga mkubwa wewe[emoji12]
Tenga muda wako fatilia PayPal ni nini Skrill ni nini payooner ni nini n.k huko..Kwani hata kama sio ndugu utaweza kutumiwa pesa na mtu usiemjua au usiekua na mipango nae hiyo kukuambia ndugu nimekutolea mfano tu ,na kwan Kwa hiyo App unafaidika nini hakuna makato au ilimradi tu utumie na wewe