Kenya yaanza kuwashughulikia Vyeti Feki yasema watafanya zaidi ya Shujaa Magufuli kwa kuwashtaki " Vyeti Feki" Mahakamani!

Mahakamani kufanya nini?
Umethibitika ulidanganya, tunaenda kutafsiri sheria gani mahakamani?
Muajiri anahitaji kukupeleka mahakani ili akutimue? Ni wewe usiporidhika na utimuaji ndio unatakiwa kwenda mahakamani....
 
Anzeni na Nape
Nape ni matunda ya Mzumbe. Kuna wakati hasa mwishoni mwa utawala Mkapa na utawala wote wa Kikwete Mzumbe ilikuwa inatoa digrii za uzamili kama njugu. Wakati huo Mkuu wa Chuo Profesa Warioba alikuwa na PhD ya kununua kwa hiyo hata mahadhiri wa Mzumbe wafanya kama vile kununua PhD na kuzigawa kwa wanafunzi ilikuwa kama kunywa maji tu.
 
Kwa giza hili!! ata huyu bibi ninawasiwasi naye ni mmoja wa vyeti feki.
 
Sifahamu
Nijuze.

Sifahamu
Nijuze.
Inatakiwa afungwe Jiwe shingoni na atoswe ziwa lenye kina kirefu zaidi hapa barani Afrika yaani Lake Tanganyika
Je shujaa Magufuli kwanini hakuwapeleka Mahakamani hao wahujumu uchumi ili wachukuliwe hatua kali za kinidhamu ili iwe funzo kwa wengine badala yake akawatimua na kuwaacha wanadunda?
 
Tatizo la Magufuli lilikuwa kuendesha zoezi la vyeti fake kiubaguzi.

Kwa mfano wafanyakazi wa vyombo vya ulinzi na usalama hawakuguswa kabisa na inasadikika vyeti fake huko ndiko vimejaa.

Watumishi wengine mpaka kwenye baraza la mawaziri wakuu wa wilaya na mikoa hawakuguswa, zaidi zaidi waliambiwa waendelee kuchapa kazi tu.

Sent from my TECNO CK7n using JamiiForums mobile app
 
Huku mama aliingizwa chaka eti nayo ikawa ni R ya 5 badala 4 akawalipa mabilioni kutahamaki dola hazipo mjini SRG haijakamilika!
 
Hapa ndipo watu wenye akili timamu kama mimi na wewe ndipo palipotuletea ukakasi na kuliona zoezi lote ni Batili,

Wenye akili Ngumbaru tu kama Mgerasi Maghayo ndio walioamini drama za Mwendazake Jiwe!

Samahani mkuu Maghayo just kidding hapo nimemsema Idugunde the witch kiaina nimejifanya nakuataki wewe!
😁😁
 
Shujaa huwa hafi kizembe kwa kupuuza masharti ya kujikinga na korona badala yake akakumbatia ushirikina wa kujifukiza. Korona ikapita naye.

Sasa ushuja wa mshirikina yule uko ktk lipi?
 
Chancellor au vice chancellor?
 
Shujaa huwa hafi kizembe kwa kupuuza masharti ya kujikinga na korona badala yake akakumbatia ushirikina wa kujifukiza. Korona ikapita naye.

Sasa ushuja wa mshirikina yule uko ktk lipi?
Wenzako huko Kenya watafungwa nyie Hapa Bongo Shujaa Magufuli aliwahurumia🐼
 
Chancellor ni ceremonial position ambayo haihitaji Ph.D. na wala huwa haiongelewa tunajadili maendeleo ya Chuo
Nilikuwa nazungumzia huyo
Chancellor ni ceremonial position ambayo haihitaji Ph.D. na wala huwa haiongelewa tunajadili maendeleo ya Chuo
Chancellor ni ceremonial position ambayo haihitaji Ph.D. na wala huwa haiongelewa tunajadili maendeleo ya Chuo
Prof Warioba uliyem-refer kama mkuu wa chuo wakati. Nikataka kujua kama alikuwa ni Chancellor au vice chancellor.

Nimecheck,nimekuta alikuwa vice. Ila nimekuelewa,kwa vile katika hali ya kawaida Naibu Mkuu wa chuo huwa tunamuita mkuu wa chuo na tunakuwa tumeelewana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…